We ndio mwanamke wa kuoa sasa.Vipi na sie wanawake ambao kama sio voda watukumbushe kwa kututakia birthday njema basi bank husika ndo wanatoa pongezi bila hvyo haipiti hata akilini
Huwaga watu Wana nipost nafarikila after that naenda sehemu yoyote ile namwagilia moyo ila sijawai kata keki ila ilo lipo kwenye bajet mwakaniHata kama huna pesa unaweza kufanya kitu kingine kuonesha kama na we umesherehekea. Mfano kwenda ziwani, mtoni au baharini kuogelea
Am taken, shukranWe ndio mwanamke wa kuoa sasa.
Kama umeolewa hongera sana. Ila kama bado naomba nafasi kwako
Hahaha, nimejikuta nacheka , eti huyakiwi kujua kama ulizaliwa.kwanza mwanaume hutakiwi kujua hata kama ulizaliwa,, licha ya kujua ulizaliwa lini
Kwakweli Sioni km ni ulazimakununa mtu km ameshindwa kukumbuka japo kunawanawak sherehe ni kipaumbele πMtihani wa kwanza ni kukumbuka hiyo tarehe yenyewe ya kuzaliwa. Nimewahi achwa kwasababu ya kusahau birthday ya mtoto mzuri, nikashindwa kuwa wa kwanza kumu-wish happy birthday; yaani ile ng'ombe eti ilitegemea mie niamke saa 6:01 usiku "nimuimbie hepi besidei tuyu"!!
Nafikiri wanaume wengi hatuko vizuri/ hatuweki kipaumbele kwenye kukumbuka na kusherehekea siku za kuzaliwa, hatuoni mantiki ya kutumia muda na pesa tulizozipata kwa shida kusherekea sherehe ambayo haina manufaa. Kuna sisi wengine tunasahau hadi majina ya katikati ya wapenzi wetu,... au ukiulizwa "Ivi mpenzi wako amezaliwa wapi?" milioni inawekwa mezani ila huwezi kujibu.
Angalau ni vigumu kwa wanaume wengi kukumbuka "vitu vidogo vidogo visivyo vya msingi"... kama siku ya kuzaliwa.
Shida huwa tunafananishwa sana, utasikia,"Wewe utakuwa hunipendi! Mbona Ex wangu alikuwa kila birthday yangu anakuwa wa kwanza kuni-wish!" ...bloody fool!π€¬Kwakweli Sioni km ni ulazimakununa mtu km ameshindwa kukumbuka japo kunawanawak sherehe ni kipaumbele π
Sawa future wife!πMm tangu nizaliwe sikuwah kufanya na huwa nasahau lkn mamaangu huwa ananiwish tangu nipo mdogo japo alikuwa hanifanyii sherehe,
nimefanya birthday mwka huu na wafanyakaz wenzangu ofisin yaan inaburudisha mno nilijihis kuthaminiwa mno inaleta furaha sana japo haikuwa party kubwa ila kunakitu Cha tofauti nilijihis
Ila wanaume naonawako busy sana pia wengi wanakosa support ya watu wa kuwajali Kwa karibu kwenye sikuzao muhimu km hizo sio Kwa sherehe kubwa hta Kwa kadi maua na zawad ndogondogo inavutia mno
Kwa upande wa mpenz kwakweli dear future husband furahayako muhimu kipnde hiki lazima nikiweke sawaπππhta Kwa chocolate tutashrehekea tu
Ndo shida ilipo na kinachotuponza ni kuigaShida huwa tunafananishwa sana, utasikia,"Wewe utakuwa hunipendi! Mbona Ex wangu alikuwa kila birthday yangu anakuwa wa kwanza kuni-wish!" ...bloody fool!π€¬
πSawa future wife!π
Sisi wengine siku zetu za kuzaliwa huwa tunafunga swaum, baadhi ya nyakati tunasahau kabisa.Habari ndugu wana jamvi. Binafsi napenda kuwapongeza kwa ujenzi wa taifa. Maana hata hizi bundle tunazonunua tunachangia uchumi kwa kiasi kikubwa
Pia nimpongeze mama kwa kuupiga mwingi maana bila juhudi zake na sisi tungekua sri lanka.
Baki tu the topic.
Kumekuwa na mijadala mingi inayozungumzia wanawake na tabia zao kwa ujumla na tumekua tukikumbushwa sana jinsi ya kuishi nao kwa akili hapa dunia na wamekua na matukio mengi ya kushangaza dunia kwa ujumla.
Napenda kuuliza kwanini wanaume wengi huwa hawana muda na kitu kinachoitwa birthday? Si ajabu ukakuta anapeleka gift kwa beloved someone ila siku yake ikifika hana mpango japo sio wote ila kwa waliowengi.
Binafsi sikumbuki tarehe 24november kila mwaka hua inaisha isha kiaje?
Tushee mawazo... Vipi kwako hua unasherehekea? If not why? And if yes with who?
Na vipi to your beloved huwa unampa gift au huwa unampotezea?