Kwanini wanaume hatusherehekei siku zetu za kuzaliwa?

Kwanini wanaume hatusherehekei siku zetu za kuzaliwa?

Vipi na sie wanawake ambao kama sio voda watukumbushe kwa kututakia birthday njema basi bank husika ndo wanatoa pongezi bila hvyo haipiti hata akilini
We ndio mwanamke wa kuoa sasa.
Kama umeolewa hongera sana. Ila kama bado naomba nafasi kwako
 
Hata kama huna pesa unaweza kufanya kitu kingine kuonesha kama na we umesherehekea. Mfano kwenda ziwani, mtoni au baharini kuogelea
Huwaga watu Wana nipost nafarikila after that naenda sehemu yoyote ile namwagilia moyo ila sijawai kata keki ila ilo lipo kwenye bajet mwakani
 
Mm tangu nizaliwe sikuwah kufanya na huwa nasahau lkn mamaangu huwa ananiwish tangu nipo mdogo japo alikuwa hanifanyii sherehe,

nimefanya birthday mwka huu na wafanyakaz wenzangu ofisin yaan inaburudisha mno nilijihis kuthaminiwa mno inaleta furaha sana japo haikuwa party kubwa ila kunakitu Cha tofauti nilijihis

Ila wanaume naonawako busy sana pia wengi wanakosa support ya watu wa kuwajali Kwa karibu kwenye sikuzao muhimu km hizo sio Kwa sherehe kubwa hta Kwa kadi maua na zawad ndogondogo inavutia mno


Kwa upande wa mpenz kwakweli dear future husband furahayako muhimu kipnde hiki lazima nikiweke sawa😂😂😂hta Kwa chocolate tutashrehekea tu
 
Mtihani wa kwanza ni kukumbuka hiyo tarehe yenyewe ya kuzaliwa. Nimewahi achwa kwasababu ya kusahau birthday ya mtoto mzuri, nikashindwa kuwa wa kwanza kumu-wish happy birthday; yaani ile ng'ombe eti ilitegemea mie niamke saa 6:01 usiku "nimuimbie hepi besidei tuyu"!!

Nafikiri wanaume wengi hatuko vizuri/ hatuweki kipaumbele kwenye kukumbuka na kusherehekea siku za kuzaliwa, hatuoni mantiki ya kutumia muda na pesa tulizozipata kwa shida kusherekea sherehe ambayo haina manufaa. Kuna sisi wengine tunasahau hadi majina ya katikati ya wapenzi wetu,... au ukiulizwa "Ivi mpenzi wako amezaliwa wapi?" milioni inawekwa mezani ila huwezi kujibu.

Angalau ni vigumu kwa wanaume wengi kukumbuka "vitu vidogo vidogo visivyo vya msingi"... kama siku ya kuzaliwa.
Kwakweli Sioni km ni ulazimakununa mtu km ameshindwa kukumbuka japo kunawanawak sherehe ni kipaumbele 😂
 
Kwakweli Sioni km ni ulazimakununa mtu km ameshindwa kukumbuka japo kunawanawak sherehe ni kipaumbele 😂
Shida huwa tunafananishwa sana, utasikia,"Wewe utakuwa hunipendi! Mbona Ex wangu alikuwa kila birthday yangu anakuwa wa kwanza kuni-wish!" ...bloody fool!🤬
 
Mm tangu nizaliwe sikuwah kufanya na huwa nasahau lkn mamaangu huwa ananiwish tangu nipo mdogo japo alikuwa hanifanyii sherehe,

nimefanya birthday mwka huu na wafanyakaz wenzangu ofisin yaan inaburudisha mno nilijihis kuthaminiwa mno inaleta furaha sana japo haikuwa party kubwa ila kunakitu Cha tofauti nilijihis

Ila wanaume naonawako busy sana pia wengi wanakosa support ya watu wa kuwajali Kwa karibu kwenye sikuzao muhimu km hizo sio Kwa sherehe kubwa hta Kwa kadi maua na zawad ndogondogo inavutia mno


Kwa upande wa mpenz kwakweli dear future husband furahayako muhimu kipnde hiki lazima nikiweke sawa😂😂😂hta Kwa chocolate tutashrehekea tu
Sawa future wife!😋
 
Shida huwa tunafananishwa sana, utasikia,"Wewe utakuwa hunipendi! Mbona Ex wangu alikuwa kila birthday yangu anakuwa wa kwanza kuni-wish!" ...bloody fool!🤬
Ndo shida ilipo na kinachotuponza ni kuiga
 
Ila kuna mabaharia wanatuangusha sana anaanza kusherehekea bado week moja ila watoto wakishua ndo zao hizo utaona jitu zima linapost mpaka katuni status ila sisi ngumu kumeza maisha yenyewe birthday.
 
Habari ndugu wana jamvi. Binafsi napenda kuwapongeza kwa ujenzi wa taifa. Maana hata hizi bundle tunazonunua tunachangia uchumi kwa kiasi kikubwa

Pia nimpongeze mama kwa kuupiga mwingi maana bila juhudi zake na sisi tungekua sri lanka.

Baki tu the topic.
Kumekuwa na mijadala mingi inayozungumzia wanawake na tabia zao kwa ujumla na tumekua tukikumbushwa sana jinsi ya kuishi nao kwa akili hapa dunia na wamekua na matukio mengi ya kushangaza dunia kwa ujumla.

Napenda kuuliza kwanini wanaume wengi huwa hawana muda na kitu kinachoitwa birthday? Si ajabu ukakuta anapeleka gift kwa beloved someone ila siku yake ikifika hana mpango japo sio wote ila kwa waliowengi.
Binafsi sikumbuki tarehe 24november kila mwaka hua inaisha isha kiaje?

Tushee mawazo... Vipi kwako hua unasherehekea? If not why? And if yes with who?
Na vipi to your beloved huwa unampa gift au huwa unampotezea?
Sisi wengine siku zetu za kuzaliwa huwa tunafunga swaum, baadhi ya nyakati tunasahau kabisa.

Lakini kiuhalisia si siku ya kusherehekea, bali unatakiwa kuwaza umetanguliza nini huko uendako baada ya maisha haya ya dunia. Hii ni kwa sisi tunaomini uwepo wa Mola muumba.
 
Mhubiri 7:1-2

Heri sifa njema kuliko marhamu nzuri;
Na siku ya kufa kuliko siku ya kuzaliwa.
 
Back
Top Bottom