Kwanini wanaume hatusherehekei siku zetu za kuzaliwa?

Tuna mambo mengi ya kufanya. Ni sawa na Kuuliza, kwa nini wanaume hatutumii muda mrefu salun.
 
Ila Jamani mwanaume kusherekea siku ya kuzaliwa Tena umejiandalia mwenyewe,😂😂😂😂hainogi..
 
Huyo mdada alizingua pakubwa
 
Ila Jamani mwanaume kusherekea siku ya kuzaliwa Tena umejiandalia mwenyewe,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hainogi..
Kwahyo mwanaume akiandaliwa ni sawa?
 
Too far mkuu....

It's about hobby
 
binafsi naonaga wanifanyie my loved ones... wakikumbuka fine ntasherehekea wakisahau imeisha hiyo

Kuna hisia tamu kama ni birthday yako na ukajua siku imepita tu... unashangaa unafanyiwa suprise at least hiyo inafanya uhisi uko loved & valued

If you’re lucky s.o.b
 
Sijawahi kusheherekea hayo makitu hata siku moja.

Tofauti sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…