Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
,sasa kama mwanamke anakubania tendo la ndoa unaishi nae wa nini.Maana mwanamke tofauti na uchi wake hakuna kingine anaweza kukupa.Chanzo kikuu cha wanaume kuchepuka ni kubaniwa tendo la ndoa
Mdada kuwa mzuri katika ndoa sio kila kitu. Shida wadada mkishaolewa mnaanza kuchukulia mambo poa, mnaanza kuweka rariba za kubanduana