nadhani ni kwasabb wadada wenyewe hata kama wapo kwenye ndoa kumkataa mwanaume siku hizi kwao ni mwiko, wanahisi ni laana pia🐒Unakuta mkaka ana mke mzuri mwenye sifa zote za uzuri lakini hatulii kwa huyo mkewe, anachepuka na mdada mwingine tena wa kawaida tu.
Kwa nini wanaume huchepuka?
Asante BABA MKWE 😂😂😂mjukuu wang usiwaze ww nishakitafutia mchumba ambaye n BICHWA KOMWE -
🤣nadhani ni kwasabb wadada wenyewe hata kama wapo kwenye ndoa kumkataa mwanaume siku hizi kwao ni mwiko, wanahisi ni laana pia🐒
halafu utadhani wameambizana, ukigusa tu imo dah 🐒
Huwa hatusamehi ujinga
Wengi tu, wanaishia kuona Kwa macho Ila hawatekelezi tamaa zaoHiv Kuna wanaume ambao hawachepuki sikuhiz😃
Uzoefu mdogo nilioupata nimegundua kuwa hata mkeo ndani ya nyumba bado unahitaji umwombe kama ndiyo unaanza kumtongoza Kwa upya. Hapo unampatia, ukifanya amri na ubabe unapoteza ladha na hamasa kwakeWanawake mnashida sana, kwanza mnataka mwanaume aiombe chumbani tena on ground, badala ya wewe kutengeneza mazingira aipate kwa Uhuru. Mfalme hatakiwi kusumbukia vitu vidogo kama hivyo.
Kingine ni mazoea, yaani kumzoea Mume kana kwamba ni mwanao
Thubutu 😀Wengi tu, wanaishia kuona Kwa macho Ila hawatekelezi tamaa zao
1000 mzee SuleimanJiulize ni kwa nini selemani alikuwa na wanawake 500 hiyo ni nature ya wanaume.
Hamna kitu kama hicho, ni kujiendekeza tuu na kuendekeza nyege, unaweza kuridhika na mwanamke mmoja vizur kabisa, but kama huyo mwanamke haleti vita nyumbani.
Mungu ndiye anayetujua, kama katuumba kutoridhika na mwanamke mmoja, mbona kamuumba Adam na akampa mke mmoja?? Si angempa hata wawili au watatu au wanne??
Ni kweli mkuuWatu wanakosea Sana kusema Mungu ameumba watu wawe Malaya. Uumbaji wa Mungu hauna uhudiano na dhambi unazofanya. Kwahiyo wezi nao waseme wameumbiwa Wizi 😅 ukitenda kosa usiongeze kosa laingine kwa kukufuru.
Tuje kwenye pwenti . Binadamu tuna tabia mbaya ya kutamani vitu ambavyo hatuna tukisha vizoea tunaona Cha kawaida. That's y mke wako Kuna mtu anammendea na wewe unayemmendea Ni wamwingine😆 halafu hili swala la kuchepuka lipo kwa jinsia zote sema linaonekana kwetu sisi zaidi kwasababu sisi hatuopi madhara yatakayotokea endapo utajulikana
Ulafi tu.Boys with toys & dolls.Unakuta mkaka ana mke mzuri mwenye sifa zote za uzuri lakini hatulii kwa huyo mkewe, anachepuka na mdada mwingine tena wa kawaida tu.
Kwa nini wanaume huchepuka?
Kama hutaki kukubali sikulazimishi, Ila wapoThubutu 😀
Tunataka ushindi home & away.Unakuta mkaka ana mke mzuri mwenye sifa zote za uzuri lakini hatulii kwa huyo mkewe, anachepuka na mdada mwingine tena wa kawaida tu.
Kwa nini wanaume huchepuka?
Mwanaume ni wa "WOTE" quoted from ALBERT CHALAMILA mkuu wa mkoa wa dar es salaam.Mwanaume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja!!
🤣🤣🤣🤣🤣Hii kuchepuka ni men to men.....
Manake wanawake si marufuku 😹
Huo hapo.Weka uthibitisho wa utulivu wenu
Ndio mkwe, sie ni watulivu sanaaaa.
Hapana, sisi sote kwa pamoja.Mkwe sema mie, ila sio sie...
mechi za ugenin zina utam wakeeUnakuta mkaka ana mke mzuri mwenye sifa zote za uzuri lakini hatulii kwa huyo mkewe, anachepuka na mdada mwingine tena wa kawaida tu.
Kwa nini wanaume huchepuka?