Bi zandile
JF-Expert Member
- Sep 12, 2024
- 301
- 856
- Thread starter
- #21
Umechelewa ndugu, Bi Zandile sio single lady
mi nipo singo najitunza kwaajili yako Bi zandile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mi nipo singo najitunza kwaajili yako Bi zandile
Umewasiliana na Mungu katika uumbaji hongera mkuuMwanaume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja!!
Mtaachana tuUmechelewa ndugu, Bi Zandile sio single lady
Jikite katika madaSio wanaume tu, hadi wanawake wanachepuka sana tu
niamini mm, kuna k2 cha tofauti anakipata kutoka kwa huyo mchepuko ambacho kwako hakipo na kama kipo bas hujakitumia vzur...Nijue namna ya kumdhibiti mwanaume wangu asiwe mchepukaji
Kwenda zako shetaniMtaachana tu
Unajipakulia minyama ausiyo 🤓Huwa nawashauri wanaume wenzangu watulie kama mimi ila wao hawataki hapa jf wote wameoa na wanamichepuko zaidi ya 6 ila mi nipo singo najitunza kwaajili yako Bi zandile
Ukiachana njoo nakusubiri nipo kwaajili yakoKwenda zako shetani
Kwa sababu utamu wa kumvua Chupi Mwanamke haujawahi kupaka kipimoKwa nini wanaume huchepuka?
Unakuta mkaka ana mke mzuri mwenye sifa zote za uzuri lakini hatulii kwa huyo mkewe, anachepuka na mdada mwingine tena wa kawaida tu.
Kwa nini wanaume huchepuka?
Tupo wengi tuHiv Kuna wanaume ambao hawachepuki sikuhiz😃
Wanawake wengi wanakosa sanaa ya mapemzi wakishakuwa wake ndani ya nyumbaUnakuta mkaka ana mke mzuri mwenye sifa zote za uzuri lakini hatulii kwa huyo mkewe, anachepuka na mdada mwingine tena wa kawaida tu.
Kwa nini wanaume huchepuka?
Mwanaume ni mtu Ambae anatafuta ridhki zake sehem zenye heka heka na makelele ivyo akilud nyumbani anaitaj utulivu wa Hali ya juu kupumzisha mwili,ila akilud nyumbani akakuta mikelele Tena kama alipo Toka kazini baasi apo ndo linapo Anza tatizo, mwanaume ni kiumbe ambacho akipend makelele akiwa mapumzikoni.Unakuta mkaka ana mke mzuri mwenye sifa zote za uzuri lakini hatulii kwa huyo mkewe, anachepuka na mdada mwingine tena wa kawaida tu.
Kwa nini wanaume huchepuka?
Sio KWeli hii hoja Haina mashikoNgoja waje wakwambie mboga moja inachosha au wao wameumbwa hivyo Mwanamke mmoja hatoshi.
Wanawake mnashida sana, kwanza mnataka mwanaume aiombe chumbani tena on ground, badala ya wewe kutengeneza mazingira aipate kwa Uhuru. Mfalme hatakiwi kusumbukia vitu vidogo kama hivyo.Unakuta mkaka ana mke mzuri mwenye sifa zote za uzuri lakini hatulii kwa huyo mkewe, anachepuka na mdada mwingine tena wa kawaida tu.
Kwa nini wanaume huchepuka?
Raha ya Mwanaume ni kua na sehemu nyingi za iwekezaji wa kuweza kukojolea yaan awe na vikojoleo vingiNgoja waje wakwambie mboga moja inachosha au wao wameumbwa hivyo Mwanamke mmoja hatoshi.