Kwanini wanaume huchepuka?

Kwanini wanaume huchepuka?

Unakuta mkaka ana mke mzuri mwenye sifa zote za uzuri lakini hatulii kwa huyo mkewe, anachepuka na mdada mwingine tena wa kawaida tu.

Kwa nini wanaume huchepuka?
Mwanaume ni mtu Ambae anatafuta ridhki zake sehem zenye heka heka na makelele ivyo akilud nyumbani anaitaj utulivu wa Hali ya juu kupumzisha mwili,ila akilud nyumbani akakuta mikelele Tena kama alipo Toka kazini baasi apo ndo linapo Anza tatizo, mwanaume ni kiumbe ambacho akipend makelele akiwa mapumzikoni.
Nawakilisha hoja kisomi kabisa😂🙏🏽.
 
Unakuta mkaka ana mke mzuri mwenye sifa zote za uzuri lakini hatulii kwa huyo mkewe, anachepuka na mdada mwingine tena wa kawaida tu.

Kwa nini wanaume huchepuka?
Wanawake mnashida sana, kwanza mnataka mwanaume aiombe chumbani tena on ground, badala ya wewe kutengeneza mazingira aipate kwa Uhuru. Mfalme hatakiwi kusumbukia vitu vidogo kama hivyo.
Kingine ni mazoea, yaani kumzoea Mume kana kwamba ni mwanao
 
Back
Top Bottom