Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Hapana, sisi sote kwa pamoja.
Hata sisi wanaume kwa umoja wetu huwa hatuchepuki...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana, sisi sote kwa pamoja.
Mboga moja inachosha kwa watu woteWanaume ambao hawachepuki wapo wengi na wapo ambao pia hayajawahi kufanya sex sema mnakutana na wanaume wajanja ndio ambao ni malaya na kuna wengine sio malaya sema kuna sababu zinazowafanya wachepuke kama kunyimwa tendo, makelele ya mke n.k
🤣🤣🤣🤣Mboga moja inachosha kwa watu wote
Ndo Huwa hawachepuki au😂Sio kweli hivi ujawahi kukutana na mwanaume ambaye ni domo zege?
Imeisha mkuuHivi hii movie ilifikaga mwisho wake? Sikufanikiwa kuimaliza Ila ningependa kuitazama Tena kama imeisha
Wenzio wamesema wanachepuka sana tu, na mna hatimiliki ya kuchepuka.Hata sisi wanaume kwa umoja wetu huwa hatuchepuki...
Nitarudi tujadilianeHiyo inategemea na umempata mwanaume wa aina gani, kuna mwanaume ni malaya by nature hata ufanye nini hawezi kuliridhika na mwanamke mmoja.Kuna wanaume ambao sio malaya by nature sema matendo yako kwake ndio yanaweza kuamua asikucheat au hakucheat huyu ndio suitable kwako unaweza kutumia sanaa ya mapenzi na ikamfanya asichepuke mambo yenyewe ni kama yapi;
1.Wanataka utulivu, Epuka kuwa na makelele sana kwenye ndoa hii inasaidia asichepuke
2.Jitahidi uwe mpya machoni mwake,Wanawake wengi waliokwenye ndoa ubweteka sana kama alikuwa anapendeza sana atapunguza so unatakiwa kupendeza,hata wakati unahitaji kufanya nae sex vaa mavazi tamanishi ili tu mvutie
3.Uwe una lugha nzuri kwa mumewe, Wanaume sometimes wanaitaji kupewa maneno mazuri ya kumotivate hasa anapopitia changamoto mbalimbali epuka pia lugha za kejeli au dharau wanaume wote hawapendi dharau.
4.mpe sex pale anapohitaji, moja ya sababu kuu ya wanaume wengi kuchepuka ni kubaniwa kwenye sex nimekuongezea hili tena lichukue alafu ndio la muhimu sana Aaliyyah
Domo zege ni ngumu kuchepuka labda mpaka azawadiwe na manziNdo Huwa hawachepuki au😂
Tuache kwanza ndio kwanza tunatafuta wengine😂Unakuta mkaka ana mke mzuri mwenye sifa zote za uzuri lakini hatulii kwa huyo mkewe, anachepuka na mdada mwingine tena wa kawaida tu.
Kwa nini wanaume huchepuka?
Hawa unaoita wakaida ndio wazuri 😅Unakuta mkaka ana mke mzuri mwenye sifa zote za uzuri lakini hatulii kwa huyo mkewe, anachepuka na mdada mwingine tena wa kawaida tu.
Kwa nini wanaume huchepuka?
😅😅😅DSTV wazuri ila azam nayo ina ladha yake.!!
Waacheni wanaume wapate burudani msiwabane bane..!!
Wewe ukiambiwa utazame TBC mwaka utaweza?!!
My husband to be kokote ulipo onja mapishi mbalimbali kwa raha zako 🤣🤣🤣
Ila ww ss hivi unanifatilia sana 😂😂😂
Mjuane halafu mkanyongwe sio?Wale ambao hatujawahi kuchepuka tujuane leo 😂
Hii umeandika ukiwa Tungi ngoja pombe ziishe 😀😀😀usije kukana my wiiDSTV wazuri ila azam nayo ina ladha yake.!!
Waacheni wanaume wapate burudani msiwabane bane..!!
Wewe ukiambiwa utazame TBC mwaka utaweza?!!
My husband to be kokote ulipo onja mapishi mbalimbali kwa raha zako 🤣🤣🤣
Wii umejuaje?? 🤣🤣🤣Hii umeandika ukiwa Tungi ngoja pombe ziishe 😀😀😀usije kukana my wii
Hujajibu Ujue.