Nshawah kusoma sehemu, inasemekana ni ishu inayotokea ktk fore brain ila maelezo yake nmeyasahau simply cz of HKL.
na lile bao la kujichua nalo linahusika na huu usingizi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nshawah kusoma sehemu, inasemekana ni ishu inayotokea ktk fore brain ila maelezo yake nmeyasahau simply cz of HKL.
It helps me ( us ) to recharge or renew our appetite and strength for the next round or encounterKWA NINI WANAUME HULALA BAADA YA TENDO LA NDOA?
Utafiti wa jarida la Sayansi ya Mishipa ya Fahamu na Tabia uliochapishwa mwaka 2012 umebaini kuwa, dawa za usingizi hufanya kazi sawa na tendo la ndoa kwa wanaume.
Eneo la mbele la ubongo ‘pre –frontal cortex’, ambalo linahusiana na ufahamu, au umakini wa kiakili, huzima au kufungwa baada ya kumaliza tendo hilo.
Kwa baadhi ya utafiti, wanaume kumaliza tendo la ndoa, ni sawa na kunywa dawa za usingizi za ‘diazepam’ zenye ukubwa wa miligramu mbili.
Pia, vichocheo vinavyotoka baada ya tendo hilo kama ‘melatonin,’ ‘oxytocin’ na ‘vasopresin’, zinamsababisha mwanaume apate usingizi mzito.