Kwanini wanaume hulala baada ya tendo la ndoa?

Kwanini wanaume hulala baada ya tendo la ndoa?

Mkuu mbona umejijibu, usingizi unatokana na vichocheo specifically oxytocin.
 
Jf kila mwanaume ni kidume cha mbegu. Ukija na thread ya kuwa disqualify kuwa wanapiga vya jogoo wanakuwa wakali kama wametiwa ndimu na pilipili...wanajaza comments 500 kwa lisaa.
Jf kila mtu anapiga bao 5.
Jf kila mtu ana demu mkali.
Jf kila mtu ana elimu ya chuo kikuu au angalau chuo.
Jf karibu kila mtu anaishi daslam.
Jf karibu kila mtu ni mjuaji.

Jf ni mwisho wa maneno.
 
Jf kila mtu anapiga bao 5.
Jf kila mtu ana demu mkali.
Jf kila mtu ana elimu ya chuo kikuu au angalau chuo.
Jf karibu kila mtu anaishi daslam.
Jf karibu kila mtu ni mjuaji.

Jf ni mwisho wa maneno.
Naongezew.
Jf kila mtu ana usafiri wake private
 
Nshawah kusoma sehemu, inasemekana ni ishu inayotokea ktk fore brain ila maelezo yake nmeyasahau simply cz of HKL.
 
Back
Top Bottom