Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili nalo lina ukweli. Halafu inakua raha sana km atalala kabla yako.Hata mwanamke moja ya dalili za kifikishwa ni kulala ukiona halali ujue workdone=0
Bora umemuuliza huyu boya marioo...a.k.a Mr.Duly Sykeskazini saa ngapi mkuu?
Naomba nisikujibu hili mtani.Utakuwa radhi kusuguliwa dk 45 mtani bila break?..
Wewe mwenyewe unajulikana ni wa Kimara SukaWanaume wa dar es salaam bhana poleni sana acheni kula chips na hayo Makuku ya kizungu
Una nidhamu sana mtani, me like it...Naomba nisikujibu hili mtani.
Jf kila mtu anapiga bao 5.Jf kila mwanaume ni kidume cha mbegu. Ukija na thread ya kuwa disqualify kuwa wanapiga vya jogoo wanakuwa wakali kama wametiwa ndimu na pilipili...wanajaza comments 500 kwa lisaa.
Hiyo Ijumaa kuamkia jumamosi....! Ndio napiga show kama hizo....kazini saa ngapi mkuu?
Huu ndo ukweli halisi,Kwa Mchepuko isingizi hauwezi kuja kamwe...kwa mchepuko usingizi hauji...
Hiyo Ijumaa, kuamkia Jumamosi......Saa mbili tatu???
Huendi kazini???
Kweli kabisa mkuu...Huu ndo ukweli halisi,Kwa Mchepuko isingizi hauwezi kuja kamwe...
Naongezew.Jf kila mtu anapiga bao 5.
Jf kila mtu ana demu mkali.
Jf kila mtu ana elimu ya chuo kikuu au angalau chuo.
Jf karibu kila mtu anaishi daslam.
Jf karibu kila mtu ni mjuaji.
Jf ni mwisho wa maneno.