TANZANNIA
JF-Expert Member
- Sep 29, 2015
- 1,047
- 385
sijawahi ku experience hali hii,Mimi tumoja, tuwili silali. Mpaka nipige vi tano hapo usingizi utanichota kiana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijawahi ku experience hali hii,Mimi tumoja, tuwili silali. Mpaka nipige vi tano hapo usingizi utanichota kiana
Swali hilo madamUnasema au unauliza?
Yes ts mineSwali hilo madam
Ila hakuna QN mark.Swali hilo madam
Ahh,sasa unasahihisha mtihani wa kiswahili...Nimekubali qn mark ahakuna ngoja nirudi juu nikaiweke ili unijibu au sio?Ila hakuna QN mark.
hapo kinachokulaza ni pombe,hata usipopiga mashine utalala tu,Ukitaka ulale hadi uibiwe kwa demu, piga zako bia za kutosha, halafu kapige bao halafu ujidai eti unapumzika kutafuta la pili, ukishituka kumekucha.
Nshakujibu angalia juuAhh,sasa unasahihisha mtihani wa kiswahili...Nimekubali qn mark ahakuna ngoja nirudi juu nikaiweke ili unijibu au sio?
kazini saa ngapi mkuu?Yawezekana...! Japo mimi napiga show ya kistaarabu dk 45, nikimaliza narudi sebuleni naaangalia game za Spain (La liga) usiku saa tano mpaka saba. narudi bedi, nampa mamsapu kimoja cha ushindi, kama Barca kashinda lakini. Asbh saa mbili-tatu nampa tena kingine cha dk30. Then tunaamka, tunapiga supu safi, mambo mengine yanaendelea
Swali la msingi badoooNshakujibu angalia juu
Ok,nimeonaNshakujibu angalia juu
KWA NINI WANAUME HULALA BAADA YA TENDO LA NDOA?
Utafiti wa jarida la Sayansi ya Mishipa ya Fahamu na Tabia uliochapishwa mwaka 2012 umebaini kuwa, dawa za usingizi hufanya kazi sawa na tendo la ndoa kwa wanaume.
Eneo la mbele la ubongo ‘pre –frontal cortex’, ambalo linahusiana na ufahamu, au umakini wa kiakili, huzima au kufungwa baada ya kumaliza tendo hilo.
Kwa baadhi ya utafiti, wanaume kumaliza tendo la ndoa, ni sawa na kunywa dawa za usingizi za ‘diazepam’ zenye ukubwa wa miligramu mbili.
Pia, vichocheo vinavyotoka baada ya tendo hilo kama ‘melatonin,’ ‘oxytocin’ na ‘vasopresin’, zinamsababisha mwanaume apate usingizi mzito.
Swali la mcng lip nyundo?Swali la msingi badooo
Umeshajibu Viva,subiri.Swali la mcng lip nyundo?
Ndio kazi yake hiyo..kazini saa ngapi mkuu?
kazini saa ngapi mkuu?