Kwanini wanaume huwa na michepuko?

hapo sasa Mgirik umeuliza swali zuri sana unajua wanaume wengi wanajisahau sana wanayoyafanya wao wanayaona sawa tu ila ngoja wafanyiwe wao,patacimbika na ikibidi talaka siku hiyo hiyo ni hatari.

siungi mkono swala la nyumba ndogo hata kidogo lakini napenda sana wale wanaume ambao wana nyumba ndogo lakini wamezipa limit kwa wake zao,yaani akijua nyumba ndogo inamsumbua mke wake au inamdharau basi ataipata fresh au hiyo ndo inaweza ikawa mwisho wa mahusiano yao.
Hata kama kutoka nje ya ndoa kupo lakin huy jamaa kazd, huwez kumdhalilisha mkeo kias hcho, na itakuweje na yeye akiamua kuishi liwalo na liwe akaanza kukuletea wanaume mbele yako?? Dah! Hiii hatareee mura ayaa!
 
Last edited by a moderator:
thanks g click na hongera kwa kubaki njia kuu,lakini unawaonaje hao wenzio ambao wanawaona nyumba ndogo kuwa muhimu zaidi hadi kuthubutu kuwapiga na kuwadhalilisha wake zao mbele za nyumba ndogo zao?em funguka walau kidogo mkuu.
baki njia kuu
 
Last edited by a moderator:
okay i have taken it from you,lakini unaweza nipa proove kwa nini is innevitable?

je kuna sababu zozote za kisayansi zilizofanyiwa utafiti zikaonyesha kuwa mwanaume kamwe hawezi kuwa na mwanamke mmoja au ni kasumba tu ambayo wanaume walio wengi wamejiwekea ili tu kuhalalisha ufuksa wao?

my babu Asprin nakurespect sana lakini kwa hili em naomba uje hapa ukiwa na facts za mwanume kuwa na mwanamke mmoja ni innevitable.

halafu hapo kwenye red nina swali moja tu kwako hivi babu unawaonaje wanawake?je unawaheshimu?
 
Last edited by a moderator:

naongezea tu, tena hivyo vitu adimu huwa kwa kawaida haviombwi hata kwa mpenzi unayetegemea kumuoa
 

Ndio nyie nyie
 

General rule ndo hiyo hapo kwa red, ila mkuu kuna exceptions
 
Kuna watu wanachepuka mpak wanajisahau, ila kweli kwenye ndoa kuna mapungufu mengi, kinachotakiwa ni kuvumilia, au kifanya siri sana n kumheshimi mke wa ndoa. Asikudabganye mtu mtu kwenye huko wanaume wenye nyumba ndogo, nao pia huchepuka, atalalaje kila siku peke yake wewe ukirudi kwa mkeo?
 
NYIE NDO WALE WALE AMBAO TUNAWAPA SOMO HAMUELEWI SIJUI MMEMEZWA NA NIINI HUKO KWENYE NYUMBA NDOGO SIJUI MNA NINI NYIE WANAUME SIJUI TUWAFANYEJE ILI MBADILIKE KWANINI MNAKUWA HIVYO HALAFU MNASAPOTIANA KI😛hoto:😛hoto:😛hoto:
 
Namuhurumia huyo mke sijuhi alichukua uamuzi gani?
Wanaume wanatusema sisi mwalimu wetu kipofu sasa sijuhi wao mwalimu wao nani?
Back to topic
Huyo mwanaume ni mbulula kabisa huwezi kumtetea kimada wako na kumpiga mkeo hata kama kafanya kosa kukufuatilia...
Kifupi hapo upendo umekwisha
 
Na ni hulka za kimalaya kwa wanaume wengi kutotosheka na mwanamke mmoja tu
 
Sijaolewa, tatizo ni kwamba habari ni ndefu sana n and huwa nahisi i am not wife material, cwez kuteseka coz of Man.
 
ni kweli Kongosho si vyema kuhukumu wanaume wote kwa scenario hiyo moja na kiukweli kabisa mimi sihukumu wanume wote ila tu kwa kisa hiki nilishangaa mno na nikapenda kujua maoni ya wanume wengine ikiwa wao pia wanaona mwenzao alivyofanya ni sawa tu?

unajua Kongosho inauma sana kufaniyiwa hivyo na mume wako?kama mume ndo kakufanyia hivyo,nani basi atakuwa upande wako?
Kongosho kuna wanaume ni machakaramu na hawawezi kuishi bila vimada lakini ukitaka mkosane au uhusiano wenu ufikie mwisho basi thubutu kiumgasi mkewe,hapo ndo utaujua ukali wake,sipendi na wala siungi mkono wanaume kuwa na nyumba ndogo but i prefer of this type aisee,mara mia hawa kuliko hao wenye ufyatu kichwani mwao!!!!!!!!!!!!!

 
Last edited by a moderator:
samahani Chebe17 sijakupata vilivyo.
 
Last edited by a moderator:
najua wanaume waiokamilika wengi wao wana michepuko ...kwa hiyo ni suala la sisi wanawake kukubali tu
 
hebu sema na wewe Rapunzel?hivi kweli unafikia hatua ya kumpiga mkeo mbele za kimada?halafu na wanawake wa siku hizi nao wana roho ngumu,mtu umekutwa na mume wa mtu lakini bado unadiriki kumjibu mke wa mwezio unavyotaka kweli ?ila siwalaumu sana wanawake hao kwa ni wao wanapewa kichwa na waume zao,laiti kama wangekuwa hawapewi vichwa labda wangekuwa wana adabu,lakini bado mwanamke anzyefanya hiyvo anaona raha gani mwanamke mwenzie kutendewa kikatili hivyo?
 
Last edited by a moderator:
hapana ICHANA si kirahisi tu kihivyo,unjua hata wanawake nao ni watu na wana hisia pia mbona wao wakisalitiwa wanaumia?kwa nini wewe usiumie eti kwa kuwa tu ni mwanume kamili?kwani wewe sio mwanamke kamili?

sawa basi tuseme wanawake wameamua kukubali kuwa haiwezekani mwanaume kuwa na mwanamke mmoja tu,vipi kuhusu kudhalilishwa mbele ya kimada wa mumeo?hilo pia likubaliwe na kufumbiwa macho tu?

najua wanaume waiokamilika wengi wao wana michepuko ...kwa hiyo ni suala la sisi wanawake kukubali tu
 
Last edited by a moderator:
Price hapo kwenye red pole na wala sikushangai hiyo ni hulka ya sisi waafrika wote na ndo maana wanasema ukitaka kumficha jambo mwafrika mfichie kwenye maandishi!!!!!!!!!!

kwenye blue,hakuna mwanmke ambaye ni wife materila na ambaye si wife material,ila ni mtu tu anavyojitune na kujiweka kwa kuwa wewe umejitune na kujiaminisha hvyo ndo maana unaamini kuwa wewe si wife material.

kwenye kijani hakuna anayeteseka kwa aljili ya mwanamke au mwanume,ila watu huteseka kwa ajili ya mapenzi au hisia za upendo,ila as for you kama hujawahi kuteseka kwa ajili ya upendo basi hongera sana na uombe sana yasije yakakukuta,maanake unaweza kuwa kichaa Price.
Sijaolewa, tatizo ni kwamba habari ni ndefu sana n and huwa nahisi i am not wife material, cwez kuteseka coz of Man.
 
Last edited by a moderator:
If you cannot fight them join them
if you cannot convince confuse
 
ni kweli Rapunzel ni hulka zo tu na kujiaminisha ujinga wa kuwa mwanaume hawezi kuwa na mwanamke mmoja,jambo ambalo si kweli kwani hawakuumbwa hivyo na wapo wanaume japo wachache ambao wametulia tuli na wake zo tu na wala huwezi kusikia wanachepuka,sasa sijui hao waliumbwa sayari nyingine?.
Na ni hulka za kimalaya kwa wanaume wengi kutotosheka na mwanamke mmoja tu
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…