Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Kwanini wanaume huwa na michepuko?

kwa nini usimwombe kama ni vizuri na vinafaa kimaadili? haya hata kama ikitokea umekutwa na mkeo,kwa nini uwe upande wa huyo kimada wako?ina maaana yeye ndo wa maana kuliko yule aliyeamua kuwa na wewe?kwa lipi kwanza?kukupa mambo ambayo mkeo hawezi kukupa? umeyatolea wapi hayo mambo?vijiweni na kutoka kwenye stori za washkaji wako?porn movies?kama usingeenda huko ungevijuaje hivyo vitu unavyoviita kuwa ni adimu?
naongezea tu, tena hivyo vitu adimu huwa kwa kawaida haviombwi hata kwa mpenzi unayetegemea kumuoa
 
tena mito signature yako wala haiungi mkono hiyo support yako unayompa babu yangu mpendwa Asprin.
naongezea tu, tena hivyo vitu adimu huwa kwa kawaida haviombwi hata kwa mpenzi unayetegemea kumuoa
 
Last edited by a moderator:
Mke ana thamani sana kuliko nyumba ndogo ndo maana akaolewa.

Kosa la baadhi ya wanawake ni kutokuukubali ukweli kuwa mwanaume hajawahi kutosheka na mwanamke mmoja. Kosa alilolifanya huyo mwanamke ni kwenda kuvamia poozeo la mmewe linalomfariji mara anapotaka faraja mbadala.

Mwanamke mwenye busara za kutosha ahangaiki kumfuatilia mmewe, kama mmewe anamtimizia mahitaji yote ya kimwili, kikojoleo, na kifamilia. Ni kujitafutia presha bure tu.

Mpe pole huyo mama, mwambie akome kumfuatilia mwanaume rijali, atakufa bure aache wanae wanateseka.

mbona majibu yako yamekaa kimfumo dume hivi?
 
Kumdhalilisha mkeo ni laana kubwa,hatakama una mambo yako pembeni mheshimu mkeo.Katika maisha ya raha nyumba ndogo zinathaminiwa sana ila siku yamemkuta makubwa na kafulia ndio umuhimu wa mke unapoonekana. Unampiga mkeo wewe najua kwenye hiyo nyumba ndogo mko wangapi mnao mtunza huyo mwanamke? Asubiri siku ya kdhalilika naye haipo mbali.
 
hapana ICHANA si kirahisi tu kihivyo,unjua hata wanawake nao ni watu na wana hisia pia mbona wao wakisalitiwa wanaumia?kwa nini wewe usiumie eti kwa kuwa tu ni mwanume kamili?kwani wewe sio mwanamke kamili?

sawa basi tuseme wanawake wameamua kukubali kuwa haiwezekani mwanaume kuwa na mwanamke mmoja tu,vipi kuhusu kudhalilishwa mbele ya kimada wa mumeo?hilo pia likubaliwe na kufumbiwa macho tu?

ukishatambua kuwa mwanaume ni LIJALI....maisha ni mafupi sitaki stress kwa maana ukimfatilia ndo mwanzo wa matatizo yaziyoisha na kudhalilika mbele ya mumeo

ni bora kichaa uliyemzoea KULIKO mwendawazimu mpya

nshujua lazima wawe na nyumba ndogo ntaangalia mimi na watoto wangu kama ananipa haki yangu,anahudumia watoto,hela ya matumizi,upendo ,act as father anafanya yaliyo wajibu wake bhaasi

sitonyanyua miguu wala sitahitaji kumfuatilia kwa maana nawezwa pigwa au kuuwawa na nikawaacha wanangu yatima


inauma sana kupigwa na mumeo mbele ya kimada na ndo mana ukimchunguza sana bata hutamla

hata ukisema tusiyafumbie macho hawa viumbe wanaume hawababeki...hta akiomba msamaha ashampiga haina umaana wowote
 
bhikola can you please at least explain what you realy mean by your statement?

Kila kitu kina sababu zake, na pia kama hutaki maumivu usiyatafute kwasababu hata ukiyapata kuyahandle itakuwa taabu. Kwamfano kwanini uamue kumuwekea ulinzi au kumfuatilia mpenzi wako wakati unajua ukijua ukweli mchungu kama huo kuondoka huwezi na kulipiza ni ujinga? hapo utakuwa unajitafutia maumivu unnecessarily (so if you cannot fight them join them).
Pili mahusiano siyo swala la kugombana bali kuelewana, so kwa mfano unakuta mpenzi wako yuko na mtu mwingine, kumbuka huyu hakuwafumania guest au kuwakuta wanafanya ngono, labda kawakuta bar au anywhere na nafanya assumption kuwa hawakuwa wao tu kulikuwa na watu wengine. so kwanini afike na matusi au ugomvi au kumvaa mtu aliyenaye? labda wanaongea business, au ni social gathering au wanamaongezi mengine. so jambo la busara ilikuwa ni kuvunja ukimya na siyo kuanzisha zogo (if you nannot convince confuse)
ni hayo tu kwa leo
 
1...
Umalaya ni tabia anayoweza kuwa nayo mtu yoyote! ie me and/or ke!
2...
Kimaumbile me hawezi kutosheka na ke m1 labda awe hayuko sawa sawa! Hii ni tofauti na ke! Ke hata awe sawa sawa vipi anaweza kutoshelezwa na me m1 tu aliesawasawa!
Hata madokta wamethibitisha ke anasiku saba tu za kutamani kuliwa ndani ya mzunguko wake wa mwezi!
Hii ni tofauti na me ambaye anatamani siku zote, kwa nguvu ile ile!
Kuna siku niliskia wamama wakijadili "me ni wakorofi na wanapenda sana kungonoka! Mme wangu akiwa nyumbani, nakosa nafasi ya kulala mchana, akiniona tu kitandani anataka ani......! Naamua kupumzika sebuleni kuepusha usumbufu wake!"
3...
Sikubaliani na kejeli alizofanya huyo me dhidi ya mkewe kama ulivyoelezea kwa thired!
4...
Heshima ni muhimu sana ktk ndoa, hauwezi kumkosea mtu alafu ukampa majibu ya kifedhuli!
5...
Kwa kuzingatia maelezo ya nö 2, ke hamtakiwi kuwafatilia sana me wenu!
6...
Me na ke wanautofauti mkubwa wa kimaumbile, uhitaji na kihisia, hivyo basi anayofanya me usiyalinganishe na ya ke huku ukitegemea na me avumie kama ke wanavyovumilia dhidi ya me katika suala zima la usaliti!
...
I hope nimesomeka hapo!
 
unaona ulivyocomment ICHANA unazunguka pale pale kwamba hata kama mume ana vimada huko nje heshima iwepo basi,na heshima ikiwepo ndo hapo mume anakuwa mtunzaji mzuri wa familia na kumtunza mkewe na watoto wake,na kama mume wako yuko hivyo mshukuru Mungu mara mbili mbili,heshima ikikosekana ndani ya nymba ndo hapo mume vitimbi haviishi mara aache 1000/= au asiache kabisa,inauma sana eti kisa nyumba ndogo,halafu ICHANA mambo mengine wala sio kwamba wewe ndo mfuatiliaji NO mambo yanakufata ulipo,unakuta kimada anaamua kukuchokoa huko huko uliko kama kukuandikia meseji kukutusi au hata kukupigia simu na kukutusi,unafanyaje hapo ICHANA?
ukishatambua kuwa mwanaume ni LIJALI....maisha ni mafupi sitaki stress kwa maana ukimfatilia ndo mwanzo wa matatizo yaziyoisha na kudhalilika mbele ya mumeo

ni bora kichaa uliyemzoea KULIKO mwendawazimu mpya

nshujua lazima wawe na nyumba ndogo ntaangalia mimi na watoto wangu kama ananipa haki yangu,anahudumia watoto,hela ya matumizi,upendo ,act as father anafanya yaliyo wajibu wake bhaasi

sitonyanyua miguu wala sitahitaji kumfuatilia kwa maana nawezwa pigwa au kuuwawa na nikawaacha wanangu yatima


inauma sana kupigwa na mumeo mbele ya kimada na ndo mana ukimchunguza sana bata hutamla

hata ukisema tusiyafumbie macho hawa viumbe wanaume hawababeki...hta akiomba msamaha ashampiga haina umaana wowote
 
Last edited by a moderator:
Mke ana thamani sana kuliko nyumba ndogo ndo maana akaolewa.

Kosa la baadhi ya wanawake ni kutokuukubali ukweli kuwa mwanaume hajawahi kutosheka na mwanamke mmoja. Kosa alilolifanya huyo mwanamke ni kwenda kuvamia poozeo la mmewe linalomfariji mara anapotaka faraja mbadala.

Mwanamke mwenye busara za kutosha ahangaiki kumfuatilia mmewe, kama mmewe anamtimizia mahitaji yote ya kimwili, kikojoleo, na kifamilia. Ni kujitafutia presha bure tu.

Mpe pole huyo mama, mwambie akome kumfuatilia mwanaume rijali, atakufa bure aache wanae wanateseka.

laiti ingefaa ningekupa like 100 TIMES nami nimeaambia huku kweye blue ndo ukweli wenywe

watakufa waache watoto yatima au apate kovu la uzeeni kisa nini...

sifuatili mtu yoyote as long as ananipa mhitaj yangu
 
unaona ulivyocomment ICHANA unazunguka pale pale kwamba hata kama mume ana vimada huko nje heshima iwepo basi,na heshima ikiwepo ndo hapo mume anakuwa mtunzaji mzuri wa familia na kumtunza mkewe na watoto wake,na kama mume wako yuko hivyo mshukuru Mungu mara mbili mbili,heshima ikikosekana ndani ya nymba ndo hapo mume vitimbi haviishi mara aache 1000/= au asiache kabisa,inauma sana eti kisa nyumba ndogo,halafu ICHANA mambo mengine wala sio kwamba wewe ndo mfuatiliaji NO mambo yanakufata ulipo,unakuta kimada anaamua kukuchokoa huko huko uliko kama kukuandikia meseji kukutusi au hata kukupigia simu na kukutusi,unafanyaje hapo ICHANA?


kama nyumba ndogo inanifuatilia atakuwa anataka aone moto wangu wallah nakuambia ntafanya ziro ground kwa gharama yyote lakin sitaenda kichwa kichwa ntajipanga jinsi ya kumfanyizia kwa maana ukitaka kushinda vita ntajipanga

mimi nasemea kwa wale ambao sio rahisi kuonyesha na heshima ndani ya nyumba ipo...
 
Miss Blue G kwa kuzingatia namba 6 kwa thread yako hivi unafikiri kila kitu unachokipata nje unaweza kukaa chini na mkeo kumuomba naye akupatie? Uzuri nyumba ndogo zinajua fika kabisa kuwa kwa heshima ya ndoa ilivozoeleka kuna baadhi ya vitu mke hawezi mpa mumewe. Naye ndo anavitumia ili kuziba pengo la anachokimisi mwanaume.

Mchepuko is inevitable. Take it from me.

"By nature all men are polygamists" by unknown
 
Last edited by a moderator:
laiti ingefaa ningekupa like 100 TIMES nami nimeaambia huku kweye blue ndo ukweli wenywe

watakufa waache watoto yatima au apate kovu la uzeeni kisa nini...

sifuatili mtu yoyote as long as ananipa mhitaj yangu

Mkuu huu msimamo wako ningekubaliana nao wakati ule hakuna magonjwa hasa ukimwi to be specific.

Kwa hali ya sasa hivi ukisema humfuatilii as long anakupa mahitaji yako, una hakika gani kuwa huwezi ukaletewa ugonjwa ?!

Cha maana ni kutumia busara wakati wa kufuatilia. La sivyo utaogopa pressure ya kufuatilia uletewe pressure ya ugonjwa!
 
1...
Umalaya ni tabia anayoweza kuwa nayo mtu yoyote! ie me and/or ke!
2...
Kimaumbile me hawezi kutosheka na ke m1 labda awe hayuko sawa sawa! Hii ni tofauti na ke! Ke hata awe sawa sawa vipi anaweza kutoshelezwa na me m1 tu aliesawasawa!
Hata madokta wamethibitisha ke anasiku saba tu za kutamani kuliwa ndani ya mzunguko wake wa mwezi!
Hii ni tofauti na me ambaye anatamani siku zote, kwa nguvu ile ile!
Kuna siku niliskia wamama wakijadili "me ni wakorofi na wanapenda sana kungonoka! Mme wangu akiwa nyumbani, nakosa nafasi ya kulala mchana, akiniona tu kitandani anataka ani......! Naamua kupumzika sebuleni kuepusha usumbufu wake!"
3...
Sikubaliani na kejeli alizofanya huyo me dhidi ya mkewe kama ulivyoelezea kwa thired!
4...
Heshima ni muhimu sana ktk ndoa, hauwezi kumkosea mtu alafu ukampa majibu ya kifedhuli!
5...
Kwa kuzingatia maelezo ya nö 2, ke hamtakiwi kuwafatilia sana me wenu!
6...
Me na ke wanautofauti mkubwa wa kimaumbile, uhitaji na kihisia, hivyo basi anayofanya me usiyalinganishe na ya ke huku ukitegemea na me avumie kama ke wanavyovumilia dhidi ya me katika suala zima la usaliti!
...
I hope nimesomeka hapo!
nakubaliana na wewe katika baadhi ya mambo na mengine napingana na wewe kwanza sikubaliani na wewe kwamba mwanaume hatoshekii na mwanamke mmoja mi naamini kama upendo upo wa kweli na hamna migogoro na kila mtu anaplay part yake basi mwanume unaweza ukatosheka na mke mmoja kuna mbinu nyingi za mwanmke kumfanya mmewe atosheke nae na hata ikitokea mwanaume hajatosheka basi dini ya uislamu inaruhusu mwanaume kuoa wake mpk wanne lakini hata kama sio muisalmu hawezi kuoa mke zaidi ya mmoja hicho sio kigezo cha mume kumvunjia heshima mkewwe yaani unamcheat tena zaidi ya mara moja alafu usione kosa kiasi cah kukmba msahamha na mkeo unampiga mi naamini huyo mwanaume ana matatizo huwezi ukajisahau kiasi hiicho kwa mkeo inabidii umpe heshima yake,huwezi ukampa hawala kipaumbele zaidii.
 
Back
Top Bottom