Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Kwanini wanaume huwa na michepuko?

uzi wako mref sana mpaka unakera subir wakina shigongo waje wakujbu

wala usijali mzee mi naona umejisumbua, hata hiyo coment yako wala hata usingeiweka,ungeingia tu na kukuta thread ndefu na kuondoka zako kimya kimya tu wala hamna ambaye angekusuta au kukulazimisha uchangie hoja!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
4. Patrilineal societies vs matrilineal societies.
Polygamy is for men not women. Though women practice it too nowadays at higher scales
 
7. Alionesha heshima ila mkewe akayatafuta maumivu yake mwenyewe ( poor approach ya kusolve tatizo). Mwiba hutolewa pale ulipoingilia.
 
Umesomeka sana mkuu lakini na mimi naomba nikuulize maswali au nikujibu kwa njia hii

kwanza kwenye red huko ni kujiendekeza tu,kama mambo ndivyo yalivyo tusemeje basi kwa wale ambao ni wachache ila wapo waliotulia tuli na mke mmoja tu?hao ni wagonjwa?si malijali?mbona Mungu aliyewaumba aliona kwamba mwanaume anaweza sana kuwa na mwanamke mmoja na ndo maana hata alipoumba alimuumbia adamu mke mmoja tu Hawa?hiyo theory yenu ya mmeitolea wapi?

hapo kwenye blue nakupa miaaaaa kama unamheshimu mkeo na hukubaliani na me wenye tabia za kuwashushia wake zao heshima.

hapo kwenye kijani jee hiyo ni halali kuwa mke hapaswi kumfuatlia mume ila mume kumfuatilia mke?kwa kigezo kipi?

na hapo kwenye orange je unamaanisha wanawake hawana hisia kama wivu?hawana mioyo?wana mawe?hivi kwamba wasiseme chochote au kuchukua hatua usaliti unapotokea?
1...
Umalaya ni tabia anayoweza kuwa nayo mtu yoyote! ie me and/or ke!
2...
Kimaumbile me hawezi kutosheka na ke m1 labda awe hayuko sawa sawa! Hii ni tofauti na ke! Ke hata awe sawa sawa vipi anaweza kutoshelezwa na me m1 tu aliesawasawa!
Hata madokta wamethibitisha ke anasiku saba tu za kutamani kuliwa ndani ya mzunguko wake wa mwezi!
Hii ni tofauti na me ambaye anatamani siku zote, kwa nguvu ile ile!
Kuna siku niliskia wamama wakijadili "me ni wakorofi na wanapenda sana kungonoka! Mme wangu akiwa nyumbani, nakosa nafasi ya kulala mchana, akiniona tu kitandani anataka ani......! Naamua kupumzika sebuleni kuepusha usumbufu wake!"
3...
Sikubaliani na kejeli alizofanya huyo me dhidi ya mkewe kama ulivyoelezea kwa thired!
4...
Heshima ni muhimu sana ktk ndoa, hauwezi kumkosea mtu alafu ukampa majibu ya kifedhuli!
5...
Kwa kuzingatia maelezo ya nö 2, ke hamtakiwi kuwafatilia sana me wenu!
6...
Me na ke wanautofauti mkubwa wa kimaumbile, uhitaji na kihisia, hivyo basi anayofanya me usiyalinganishe na ya ke huku ukitegemea na me avumie kama ke wanavyovumilia dhidi ya me katika suala zima la usaliti!
...
I hope nimesomeka hapo!
 
nimekusoma ICHANA.
kama nyumba ndogo inanifuatilia atakuwa anataka aone moto wangu wallah nakuambia ntafanya ziro ground kwa gharama yyote lakin sitaenda kichwa kichwa ntajipanga jinsi ya kumfanyizia kwa maana ukitaka kushinda vita ntajipanga

mimi nasemea kwa wale ambao sio rahisi kuonyesha na heshima ndani ya nyumba ipo...
 
Last edited by a moderator:
Mume anauma sana!yalishanikuta lkn kwa kufuma sms tu,ikanifanya mpaka leo nisisahau kidonda hakijapona ingawa mwanaume anajitahid kuonyesha kujutia lakini waapi.NATAMANI SANA NITURN BACK THE HANDS OF TYM...Walioolewa na wazungu huwa wanasema wenzetu weupe hawanaga mpango wa kando.
 
Jerrymsigwa which nature are you speaking of? the nature from God's creation? or the nature from you guys just to justify your polygamists behaviour with clean hands?

Dont attack me please; av quoted and not even paraphrased, dont be sceptical n biased. Av not put even an iota to justify your attack, are u perplexed? Thats non of my bzness mate
 
nimependa sana huo msimamo wako na nakupa big salute mkuu,ila vipi siku moja waife akigundua?itakkuwaje mkuu ngalyas_t?
Mm nnavyojua handbag lazima ifuate masharti yangu na si vinginevyo. Hakuna kunipigia simu au sms hadi mm nimtafute. Nikiwa na wife urafiki na yeye haupo, hakuna mambo yoyote yatakayomkwaza wife kwa sababu heshima yake inalindwa na contract niliyoweka kwa huyo handbag. Wife kwanza na kipusa baadae. Ndo utaratibu wangu lakini wajameni. Kwa hali hii respect kwa huba wangu itadumu milele.
 
Last edited by a moderator:
ooohh so am attacking you?alright then am out.
Dont attack me please; av quoted and not even paraphrased, dont be sceptical n biased. Av not put even an iota to justify your attack, are u perplexed? Thats non of my bzness mate
 
inauma sana Maysally na nafikiri hiyo inatosha kabisa kudhihirisha kuwa wala sio nature ya mwanaume kuwa na zadi ya mwanammke mmoja,kwani kama ingekuwa ni nature wala pasingehitajika kuwa na wivu,watu wangeshare tu na maisha kusonga.
Mume anauma sana!yalishanikuta lkn kwa kufuma sms tu,ikanifanya mpaka leo nisisahau kidonda hakijapona ingawa mwanaume anajitahid kuonyesha kujutia lakini waapi.NATAMANI SANA NITURN BACK THE HANDS OF TYM...Walioolewa na wazungu huwa wanasema wenzetu weupe hawanaga mpango wa kando.
 
Last edited by a moderator:
Shida nyingine za kujitakia. We ushagundua mmeo ana nyumba ndogo. Unajifanya kiherehere cha kwenda kuvamia. Kwa nini usimsubiri arudi nyumbani myajadili...
 
nimeipenda hiyo attitue yako lakini nia swali moja tu kwako mkuu Tarime one,hapo kwenye red em naomba nikugeuzie kibao wewe ni sababu ipi anayoweza kuitoa mkeo kama kigezo cha kuchepuka ili uweze kumwelewa na kuona kuwa hakukosea kuchipuka?
Mke wa ndoa ana heshima yake ya kipekee ingawa kuna wachache hawatambui heshima tuwapayo na ndio chanzo cha kutoka njia kuu.
Turudi kwenye mada ni kweli kwa asilimia 90 wanaume tunachepuka but huyu bwana alilomfanyie mkewe ni upuuzi na ametudhalilisha wanaume,me sikatai nachepuka sana but sijaruhusu kimada yeyote amdharau ma wife,imekua principle akimdharau kwa namna yoyote napiga chini,huwa nawatahadharisha before kuhusu heshima kwa mke wangu.
 
Last edited by a moderator:
asante sana tian naona kama vile umemaliza japo najua wewe si me.
Naona Wadau Wa Michepuko Wanajitetea sana,
Kutoka nje ya ndoa ni kuidharau ndoa yako na nafsi yako pia
 
Last edited by a moderator:
kwa kweli hapo mi ndo nisingeweza vumilia tena, huyo mwanaume labda aje kwa magoti tena mbele ya wazee hivi hivi no!!!!!
Yani mume unichukulie, halafu bado nipigwe tena?...mhhhh....mi nisingerudi kwenye hiyo nyumba Wallah....hata kama kwetu ni juu ya mti nitarudi tu....

hata nisiwe na kazi wala chakula hiyo nyumba ya huyo mume sirudi....na kama tumejenga wote ataondoka kumfata malaya wake.....ikibidi naenda mahakamani....

Ndio mana wanawake siku hizi tuamke, tuwe na elimu, kazi/biashara, mambo ya kijingajinga BIG NO!!!!!!!! mxiuuuuuuu
 
asante Shemeji nahisi umemzaliza yote hivi kwamba nashindwa niongezee nini.
Sasa mnaanza kumkosoa Mungu aliyemuumbia mwanaume mwanamke mmoja? Acheni kuhalalisha uhuni kwa kusingizia mwanaume hatosheki.

Hiki alichokifanya huyo jamaa ni unyama na haustahili kuungwa mkono na mtu yoyote.
 
Last edited by a moderator:
Me ndo mana huwa najiapiza yani nikimfuma mwanamke na mpenz wangu live segerea itanihusu,,mchumba tu anauma licha ya mume unaeishi nae ktk shida na raha
 
Sijaolewa, tatizo ni kwamba habari ni ndefu sana n and huwa nahisi i am not wife material, cwez kuteseka coz of Man.
Kwa hiyo akipeleka dudushele nje na wewe unaipeleka papuchi nje
 
ingekuwa mimi ndio huyo mama mke halali, huyo mume siku hiyo angelala polisi akajisaidie kwenye ndoo wlau kwa usiku 1..isingepita hivi hivi hiyo kitu!!!!!
na akirudi home maongezi ni jinsi ya kuachana na kugawana mali/kulea watt...no more love...

dharau gani hiyo, ndio kwamba nina shida saaaaaaaana ya ndoa au?....mxiuuuu..potelea mbali acha tittle ichange na kuwa "divorced"
 
Back
Top Bottom