1...
Umalaya ni tabia anayoweza kuwa nayo mtu yoyote! ie me and/or ke!
2...
Kimaumbile me hawezi kutosheka na ke m1 labda awe hayuko sawa sawa! Hii ni tofauti na ke! Ke hata awe sawa sawa vipi anaweza kutoshelezwa na me m1 tu aliesawasawa!
Hata madokta wamethibitisha ke anasiku saba tu za kutamani kuliwa ndani ya mzunguko wake wa mwezi!
Hii ni tofauti na me ambaye anatamani siku zote, kwa nguvu ile ile!
Kuna siku niliskia wamama wakijadili "me ni wakorofi na wanapenda sana kungonoka! Mme wangu akiwa nyumbani, nakosa nafasi ya kulala mchana, akiniona tu kitandani anataka ani......! Naamua kupumzika sebuleni kuepusha usumbufu wake!"
3...
Sikubaliani na kejeli alizofanya huyo me dhidi ya mkewe kama ulivyoelezea kwa thired!
4...
Heshima ni muhimu sana ktk ndoa, hauwezi kumkosea mtu alafu ukampa majibu ya kifedhuli!
5...
Kwa kuzingatia maelezo ya nö 2, ke hamtakiwi kuwafatilia sana me wenu!
6...
Me na ke wanautofauti mkubwa wa kimaumbile, uhitaji na kihisia, hivyo basi anayofanya me usiyalinganishe na ya ke huku ukitegemea na me avumie kama ke wanavyovumilia dhidi ya me katika suala zima la usaliti!
...
I hope nimesomeka hapo!