Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Kwanini wanaume huwa na michepuko?

laiti ingefaa ningekupa like 100 TIMES nami nimeaambia huku kweye blue ndo ukweli wenywe

watakufa waache watoto yatima au apate kovu la uzeeni kisa nini...

sifuatili mtu yoyote as long as ananipa mhitaj yangu
Asprin njoo huku.....
 
Last edited by a moderator:
asante sana tian naona kama vile umemaliza japo najua wewe si me.

Mie "ke" ..Sisi Wanawake ni wahanga wakubwa wa hiyo michepuko inayofanya na waume/wapenzi
 
Last edited by a moderator:
Alafu kama ni mimi huyo mama yani siondoki hatuachani natafuta king"amuzi changu akieda kwa kimada wake na mie huyoooo nikirudi mie hoi najilalia na wanangu maisha yanenda ya nn kuangaika uje kufa presha upate na kisukari na vidonda vya tumbo maisha yenyewe haya yashakuwa mafupi hivi aaaaggggr
 
asante kw mchango wako mkuu na napata faraja kujua kuwa japo wapo wanaume ambao nyumba ndogo wala sio ishu a wanawaheshimu wake zao,hongera sana mkuu.
mke ana thamani kuliko nyumba ndogo and it always be like that ukiona imekuwa kinyume chake ujue kuna tatizo kwa either kwa upande wa mwanmake(hatekelezi majukumu yake inavyotakiwa) au kuna matatizo upande wa mwaname (kashikiwa akili kiasi hajui umuhimuwa mke wwake mbele ya hawala)
 
asante kw mchango wako mkuu na napata faraja kujua kuwa japo wapo wanaume ambao nyumba ndogo wala sio ishu a wanawaheshimu wake zao,hongera sana mkuu.
usijali mkuu kawaida hiyo tatizomatamanio sometimes huwa yanatushinda nguvu na kupelekea kuchepuka but ni jukumu letu kuyashinda kuendekeza kuchepuka sio dili wala nini??
 
thamani ya mke au mume ni kubwa sana na huwezi kuifananisha na chochote kwa wale wenye kujua maana...

ILa kwa wale wachepukji ni vigum kujua haya ndo mana utaona wanawadhalilisha wake zao mbele ya michepuko...

tukibadili tabia namin hayo mapungufu /matatizo hyatakuwepo
sure cha msingi nikujenga tabia ya kuridhika na uliyenaye basi mengine yote yanaweza yakasubiri coz wazuri kila siku hawaishi na matamanio ndio hulka ya binaadamu so kama tutashindwa kujuzuia na kutamni kwetu its very possible tutaendelea kufeli katika maisha ya ndoa
ila tatizo kuu ninaloliona watu wanaooa ilhali hawako tayari kuoa (kwa maanna kupata pumziko la kudumu) unamkuta mtu anaooa alafu mwzi wa pili tu baada ya ndoa mtu anachepuka mtu kama huyu kumzuiaasichepuke ni kazi sana.
 
ubora katika mambo yote na wakati wote kwani tunapoongelea ndoa tunamaanisha siku zote za maisha yako yaliyobaki duniani na kwa wakati wote.
1. Ubora ktk nini na kwa wakati gani? @ mtoa mada
 
hapo sasa ndugu yangu na atajitumaje mtu anahudumia watu hata watatu?kwani ye mashine?mashine yenyewe wakati mwingine inatakiwa ipoe ndo iendelee na kazi ikawe binadamu?
Amemkosea sana mkewe,basi mi jana mume kama hio utakuta ata mkewe amfikish kilelen,ila umaraya kauweka mbele,pengne atasema nyumba ndogo inaufundi wakati yeye mwenyewe ajitumi kwa mkewe,

Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
 
kwa vigezo vipi?mbona Mungu alipomuumbia adamu mke mbona alimuumbia mke mmoja tu?kama angejua mwanaume hastahili kuwa na mke mmoja tu kimaumbile si angemwumbia wanawake wawili?
4. Patrilineal societies vs matrilineal societies.
Polygamy is for men not women. Though women practice it too nowadays at higher scales
 
Blue G embu soma hiyo, afu kama kuna swali utaniuliza! (coz nahisi yale maswali uliyoniuliza nimeyajibu humo)

Habari zunu wadau!

W/ke wengi wamekuwa wakilalamika kwamba w/me ni wasaliti na hawatosheki na m/ke mmoja!
Malalamiko hayo, yamepelekea ndoa nyingi kuvurugika kutokana na kujaribu kulipiza kisasi, na pia malalamiko hayo yamepelekea w/ke wengine wasiolewe!

Ningependa ieleweke wazi kuwa umalaya ni tabia ya wote (ke na me), hata hivyo wapo w/ke waliotulia na vile vile wapo w/me waliotulia!

The issue is that w/me ni vicheche kuliko w/ke!
Nakubali kuwa, ni kweli w/me waliowengi wanachepuka kuliko w/ke!

Lakini kunasababu za msingi zinawafanya w/me wawe master wa michepuko!

Sababu hizo ningezigawa makundi mawili:
...1
Circumstantial reasons!
Hizi ni sababu zinazoweza kurekebishika kirahisi!
  • Ugogo wa wanawake!
  • Kubadilisha ladha!
  • Tafrani za wake wa nyumbani!
Hizo sitozielezea kwani zinaeleweka na zinarekebishika kirahisi! Istoshe sio main focus yangu![/COLOR=red]

...2
Natural reasons:
Na hapa ndio focus yangu ilipo!
Na ni ukweli huu ndio w/ke wanapaswa kuukubali!

1] UTOFAUTI WA KIMAUMBILE!
Kimaumbile m/me hawezi kutosheka na m/ke mmoja labda awe hayuko sawa sawa! Hii ni tofauti na w/ke!
M/ke hata awe sawa sawa kiasi gani anaweza kutoshelezwa na m/me tu alie sawa sawa!
Hata madokta wamethibitisha kuwa: m/ke anasiku saba tu za kutamani kuliwa ndani ya mzunguko wake wa mwezi! MziziMkavu, mimi49 na watabibu wengine mmeisoma hiyo?

hiyo ni tofauti na w/me! W/me tunatamani kila siku tena kwa nguvu ile ile!
Ngoja niwaekee inference moja hapa:
Ke alieshiba aliwe bao tatu na me alieshiba, baada ya hapo, atokee me mwengine ambaye ke aliyeliwa anamtamani huyo me kwa siku nyingi, hata iweje ke huyo hatoweza kurudia game! Wakati me aliekula ndani ya dakika chache tu anaweza kumkula ke mwengine!
...
Kuna siku nilimsikia mmama akisema hivi "me hawaridhiki! Mme wangu akiwepo nyumbani (mchana) naogopa hata kwenda kupumzika kitandani..."

2] UTOFAUTI WA KIHISIA!
M/ke ni vigumu kungonoka na m/me asiempenda! Wakati m/me anachapa tu hata chizi!
Hisia kwa upande mwengine, zinatuaminisha w/me tukubali kusaliti na kupinga vikali kusalitiwa! Na wele wenu tugundue mnatusaliti!
Hii ni tofauti na ke ambaye yeye akisalitiwa jamii mzima inamsihi atulie na mmewe!
...
Kwa kufungia: tumeona uwepo wa uke wenza ukihalalishwa na baadhi ya dini pamoja na tamaduni! Ili kupunguza michepuko kwa vile inatambulika m/me hawezi kutoshelezwa na m/ke mmoja!
...
My take:
Ke msituchunguze sana sisi tunaochepuka kisiri siri, otherwise mtakufa siku si zenu! kwa vile tunawatimizia mahitaji, mtuache tupumue na NATURAL RIGHT YETU!
:ranger:
 
Last edited by a moderator:
ubora katika mambo yote na wakati wote kwani tunapoongelea ndoa tunamaanisha siku zote za maisha yako yaliyobaki duniani na kwa wakati wote.

Hakuna kilicho bora au aliye bora kwa mazingira yote na wakati wote. Take note.
Ndoa za Leo ni comparison ya fatuma vs Sarah. Unategemea nini hapo.... hapo hata iweje kuna siku atammic Sarah au fatuma na kumtafuta kwa shughuli. Mhm usitafute hbr itakayokuumiza nafsi. Kwa usalama wako, ishi kwa assumption kuwa mko wawili tuu na watoto wenu
 
Heshima gani aliyoionyesha hapo mkuu? Kwa kumpiga mkewe mbele za kimada au?
7. Alionesha heshima ila mkewe akayatafuta maumivu yake mwenyewe ( poor approach ya kusolve tatizo). Mwiba hutolewa pale ulipoingilia.
 
kwa vigezo vipi?mbona Mungu alipomuumbia adamu mke mbona alimuumbia mke mmoja tu?kama angejua mwanaume hastahili kuwa na mke mmoja tu kimaumbile si angemwumbia wanawake wawili?

Jackob , Ibrahim na wengineo walikuwa na wake wangapi? Mungu aliwaadhibu kwa hilo?
 
Ni kweli mwaya lakini wao wanajitetea eti kimaumbile,sa sijui ni maumbile yapi hayo?maumbile waliyopewa na mungu au waliyojipa wenyewe?
nadhani ni tabia tu ashki za ghafla walizonazo wanaume na siyo kutotosheka
 
Pengine alitaka ushahidi unajua Tuko mambo mengine si rahisi mtu kukubali ikiwa hajakutwa atakataa mpaka basi,wala mke wa watu hakuwa na kosa mume si wake bana si waliliana kiapo?basi alitaka ajionee kwa macho yake ila sema ndo hiyo mume alivyo ----- akamgeukia mke na kuona kimada ndo anafaa kutetewa,kwani na we Tuko unamuunga mkono huyo mwanaume?
Shida nyingine za kujitakia. We ushagundua mmeo ana nyumba ndogo. Unajifanya kiherehere cha kwenda kuvamia. Kwa nini usimsubiri arudi nyumbani myajadili...
 
Last edited by a moderator:
Eee Mungu nakuomba kama nitamsaliti mke wangu mpenzi kwa huu upuuzi nakuomba nisifanikiwe kuoa kabisa

Nimejaa sana sumu

Yaani mke wangu ambae nimeapa kumlinda ndio nabadilika kuwa mshenz.i kiasi hiki kwa kumuumiza?

Oooh Lord noooooooooo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
inaudhi kwa kweli eti kimaumbile mwanaume hawezi kuwa na mwanmke mmoja,maumbile?maumbile yapi hayo?
kwa kweli hapo mi ndo nisingeweza vumilia tena, huyo mwanaume labda aje kwa magoti tena mbele ya wazee hivi hivi no!!!!!
Yani mume unichukulie, halafu bado nipigwe tena?...mhhhh....mi nisingerudi kwenye hiyo nyumba Wallah....hata kama kwetu ni juu ya mti nitarudi tu....

hata nisiwe na kazi wala chakula hiyo nyumba ya huyo mume sirudi....na kama tumejenga wote ataondoka kumfata malaya wake.....ikibidi naenda mahakamani....

Ndio mana wanawake siku hizi tuamke, tuwe na elimu, kazi/biashara, mambo ya kijingajinga BIG NO!!!!!!!! mxiuuuuuuu
 
teh teh teh teh umukagame umeniacha hoi mwenzio kwa kucheka.
Me ndo mana huwa najiapiza yani nikimfuma mwanamke na mpenz wangu live segerea itanihusu,,mchumba tu anauma licha ya mume unaeishi nae ktk shida na raha
 
Last edited by a moderator:
nikifikiria hizi mambo hata kuolewa naogopa. hawa viumbe wenye mikia mbele wanahitaji maombi sana.
 
tatizo wanwake wana huruma sana kamusi unakuta kama ungeamua kumpeleka selo angejiliza liza mara mbili tatu na vimsamaha vya kinafiki hivi unamsamehe tayari.
ingekuwa mimi ndio huyo mama mke halali, huyo mume siku hiyo angelala polisi akajisaidie kwenye ndoo wlau kwa usiku 1..isingepita hivi hivi hiyo kitu!!!!!
na akirudi home maongezi ni jinsi ya kuachana na kugawana mali/kulea watt...no more love...

dharau gani hiyo, ndio kwamba nina shida saaaaaaaana ya ndoa au?....mxiuuuu..potelea mbali acha tittle ichange na kuwa "divorced"
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom