Mke ana thamani sana kuliko nyumba ndogo ndo maana akaolewa.
Kosa la baadhi ya wanawake ni kutokuukubali ukweli kuwa mwanaume hajawahi kutosheka na mwanamke mmoja. Kosa alilolifanya huyo mwanamke ni kwenda kuvamia poozeo la mmewe linalomfariji mara anapotaka faraja mbadala.
Mwanamke mwenye busara za kutosha ahangaiki kumfuatilia mmewe, kama mmewe anamtimizia mahitaji yote ya kimwili, kikojoleo, na kifamilia. Ni kujitafutia presha bure tu.
Mpe pole huyo mama, mwambie akome kumfuatilia mwanaume rijali, atakufa bure aache wanae wanateseka.
Acha kujiingiza kwenye chama chetu bila kibali.
Ni ukweli ulioje mtu wangu.si unajua one mistake one/several goals.pale Kwenye loop hole ndo anapoingilia mwenzioMiss Blue G kwa kuzingatia namba 6 kwa thread yako hivi unafikiri kila kitu unachokipata nje unaweza kukaa chini na mkeo kumuomba naye akupatie? Uzuri nyumba ndogo zinajua fika kabisa kuwa kwa heshima ya ndoa ilivozoeleka kuna baadhi ya vitu mke hawezi mpa mumewe. Naye ndo anavitumia ili kuziba pengo la anachokimisi mwanaume.
Mchepuko is inevitable. Take it from me.
Mke ana thamani sana kuliko nyumba ndogo ndo maana akaolewa.
Kosa la baadhi ya wanawake ni kutokuukubali ukweli kuwa mwanaume hajawahi kutosheka na mwanamke mmoja. Kosa alilolifanya huyo mwanamke ni kwenda kuvamia poozeo la mmewe linalomfariji mara anapotaka faraja mbadala.
Mwanamke mwenye busara za kutosha ahangaiki kumfuatilia mmewe, kama mmewe anamtimizia mahitaji yote ya kimwili, kikojoleo, na kifamilia. Ni kujitafutia presha bure tu.
Mpe pole huyo mama, mwambie akome kumfuatilia mwanaume rijali, atakufa bure aache wanae wanateseka.
najua wanaume waiokamilika wengi wao wana michepuko ...kwa hiyo ni suala la sisi wanawake kukubali tu
Kama mwanamke hutaki stress... kaa mbali na hao sumu watu...
Chama kipi hicho babu?
Mke wa Adam hakuwa mzembe kama nyie. Alimtosha Adam sio nyie wachovu kazi kulalamika tu, kila saa mmechoka.
Hakuna kilicho bora au aliye bora kwa mazingira yote na wakati wote. Take note.
Ndoa za Leo ni comparison ya fatuma vs Sarah. Unategemea nini hapo.... hapo hata iweje kuna siku atammic Sarah au fatuma na kumtafuta kwa shughuli. Mhm usitafute hbr itakayokuumiza nafsi. Kwa usalama wako, ishi kwa assumption kuwa mko wawili tuu na watoto wenu
Hakuna kilicho bora au aliye bora kwa mazingira yote na wakati wote. Take note.
Ndoa za Leo ni comparison ya fatuma vs Sarah. Unategemea nini hapo.... hapo hata iweje kuna siku atammic Sarah au fatuma na kumtafuta kwa shughuli. Mhm usitafute hbr itakayokuumiza nafsi. Kwa usalama wako, ishi kwa assumption kuwa mko wawili tuu na watoto wenu