Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
hehehe haya nimekuja
Wengine wanaweza sema wewe huwezi sio unatoa mjumuisho wako wa kipuuzi hapaAsilimia kubwa ya wanaume walio ktk mahusiano wanachepuka na hata wakiingia ktk ndoa haka katabia hakaishi. Genetical mwanaume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja hii nguvu ya asili ni ngumu kuishinda. Sio mbaya mara moja moja kuwa na mechi za nje ila kuwa makini tu achana na michepuko ya vumbi utachakaa.
sasa kama ndio hivyo kwanini dini zingine zinapinga ndoa za wake wengi?
Inategemea na aina ya mwanamke uliemchagua awe mkeo.Kama ulikurupuka na kuchukua alie chini ya kiwango jua kila utakaepishana nae utamwona ni zaidi ya wa kwako.Utakua dungadunga mwisho wa siku mradi wa damu salama hautakuhusu.
hapo vzr nakuja pm ili tuyajenge vzr
kwi kwi kwi! Umemaliza best! Harudi tena huyo, loooolmkwe naona unashindana na mungu......
Yeye aliumba adam na eva, angeweza kabisa kuumba kaizer na kaunga, fixed point, snowhite, cacico, gfsonwin, king'asti, kongosho, ablessed, ............
Mnajihalalishia tu vitu ambavyo mungu hakuvipanga..........
Hata wakati wa dhoruba kuu tu, mungu alimwambia nuhu achukue kila kiumbe, mke na mume, na siyo mume na wake.......
Usiharibu utaratibu wa mungu kwa tamaa ya mwili mkwe
Ungekosa kuchangia huu uzi, tena kwa kuu-support HAKIKA NINGEJITOA JF, LEO HII!, hubby najua mi ndio wa mwisho, hutachepuka tenaaaaaa!We dogo ni jiniaz sana. Wanaume wanafiki wanaukataa huu ukweli hadharani lakini huko chocho wanapiga sana tu. Na wanawake wenye busara wanaujua huu ukweli thabiti na wanaukubali kimoyomoyo.
Kaizer kwa ruhusa yako, naomba kumsajidi huyu dogo kwenye chama chetu. Ada ntamlipia mimi.
kwa nini ujitwishe mawazo kama haya rafiki?Kila nikiwaza labda na yeye anachepuka, natamani kumeza glass ya konyagi.
uje na matofali ya kutosha
Kila nikiwaza labda na yeye anachepuka, natamani kumeza glass ya konyagi.
Mnang'ang'ana kutaka muwe na wanawake zaidi ya mmoja ilhali huyo mmoja tu kumridhisha hamuwezi,wengi wenu kwisha habari,no nguvu za kiume,zilizopo ni za kukisimamisha kidude tu lkn Za game ya maana hakuna!
hilo sio tatizo ndg kinachokiwa ni real love