Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Kwanini wanaume huwa na michepuko?

lakin najua unatambua kuwa wanawake ndio weng kuliko wanaume........ Hebu nikuulize........ Ungejiskiaje kuona wanaume wote wametulia na wake zao wakat huo ww peke yako ndio hujaolewa na hakuna mwanaume yeyot anayekutongoza ungejiskiaje hapo?! Sisi tunafanya hvyo kuwaondolea stress wale ambao hawajaolew na waliotendwa ili na wao wajiskie kuwa wanapendwa. Kwahyo msitulaumu sana tupo kwaajili ya kuwapa moyo waliokata tamaa

Mmmmh hat kama wanawake tupo weng hiyo sio tabia nzuri ya michepuko bora uoe ijulikane..mmezid tabia za kuchepuka...
Kama cijatongozwa au kuolewa fny it means ni mapenz ya Aliyeniumba...
Don't take granted kwa gals walioumizwa ukidhani kutembea nae ndo kumpunguzia machungu
 
Umeona eeh, tunatamani tutulie lakini tunachoka, unatamani ladha nyingine

ndio hapo mkuu! Mm nawaambia wanawake wote kuwa mtusamehe tu. Tuchukulien kuwa hcho ndio kilema chetu. Lakin kugegeda nje hakukwepeki hyo lazma....... Kwasababu kuna wakat ham kwa mkeo inaisha kabisa lakin ukienda nje mtanange kama kawa....... Ili nipate ham na ww lazma nikuchenge kidogo..... Huo ndio ukweli
 
Mtu kaoa juzi tu hata wiki mbili hazijaisha,Anatongoza na kutoa ahadi kedekede,

Lakini ukweli ni kwamba yupo kwenye ndoa,

Mie najiuliza tatizo ni nini hasa kwa hawa kaka zetu?

Kutulia na mke mmoja hamuwezi?

BADILIKA TAFADHALI.

Utakua umetumwa na King'ast weye!!!
 
Last edited by a moderator:
nimefuta kauli...!

mambo vipi mchungaji? lols..
poa.

Chini ya kifungu kipi hauja bainisha vizuri.

Maana kauli yako ilikuwa na utata wa kutosha na ushawishi wa kuongeza migegedano, eti kisa afuatilie wenye kimo kile ili kubani kama ndo wahusika wakuu wa michepuko.
 
Mmmmh hat kama wanawake tupo weng hiyo sio tabia nzuri ya michepuko bora uoe ijulikane..mmezid tabia za kuchepuka...
Kama cijatongozwa au kuolewa fny it means ni mapenz ya Aliyeniumba...
Don't take granted kwa gals walioumizwa ukidhani kutembea nae ndo kumpunguzia machungu

mkuu hvi kweli ww ipite miaka mitano hata hujatongozwa utajiskia vizr?? Hebu chukulia mpo kwenye sherehe anaitwa rafki yako pemben wana mpiga sound halaf ww upo umeachwa tu hakuna hata wa kukuomba namba ya simu utakuwa na hali gan? Kila siku wakuite shemeji hamna hata wa kukuita bby
 
white collar jobs na kutokuwa bizee,, automatically nafasi ambayo haijatumika kwenye brain inachagua kuwaza ngono,, tungekuwa tunaushughulisha mwili hadi unachoka kabsaa michepuko ingekwisha,, sidhani kama vijijini kuna michepuko kama mijini
 
Mtu kaoa juzi tu hata wiki mbili hazijaisha,Anatongoza na kutoa ahadi kedekede,

Lakini ukweli ni kwamba yupo kwenye ndoa,

Mie najiuliza tatizo ni nini hasa kwa hawa kaka zetu?

Kutulia na mke mmoja hamuwezi?

BADILIKA TAFADHALI.

'Wanawake mko wengi na wote mnataka service'
 
Tamaa tu!!!!!! si unaona hata jogoo anapenda kuwa na majike mengi ili aonekane tu na yeye anajua kufanya jike atage.
 
mkuu hvi kweli ww ipite miaka mitano hata hujatongozwa utajiskia vizr?? Hebu chukulia mpo kwenye sherehe anaitwa rafki yako pemben wana mpiga sound halaf ww upo umeachwa tu hakuna hata wa kukuomba namba ya simu utakuwa na hali gan? Kila siku wakuite shemeji hamna hata wa kukuita bby

I feel so gud kuitwa baby kwa anayemaanisha ....sio michepuko..
Chepuka as u can mwanaume lijali...cos wewe unapenda michepuko bila kuangalia hasara zake pata na wewe mwanamk mpenda totoz ili mechi iwe drooo lol
 
I feel so gud kuitwa baby kwa anayemaanisha ....sio michepuko..
Chepuka as u can mwanaume lijali...cos wewe unapenda michepuko bila kuangalia hasara zake pata na wewe mwanamk mpenda totoz ili mechi iwe drooo lol

mmmm! Sasa huko unakosea. Uliskia wapi fahar wawili wanakaa zizi moja?
 
Wadada ndo kuzidi manake hata wakiwa kwenye ndoa wanasema wako single. Na ukiwatongoza hawakatai.
As bad as kuficha pete zenu za kifungo cha ndoa mfukoni
:biggrin:
 
Ha ha ha mbavu zangu
Kumbe mkuki mtamu kwa nguruwe .....

hapo hakuna mwenye uvumilivu labda usijue kuwa unat..o mb e wa. Lakin sisi tunawaonea huruma nyinyi wenyew utakuta mdada wa watu yupo idle hana aman wakat huo mm mwenyew nahtaji frend match kujifua dhid ya ligi kuu naamua kumpa kampan na kumuondolea upweke. Sasa kosa letu ni lip
 
Ha ha ha mbavu zangu
Kumbe mkuki mtamu kwa nguruwe .....

kiukweli yaan mtusamehe hebu tuchukulien kuwa huo ndio ulemavu wetu lakin mwanaume kubaki njia kuu hyo ngumu mchepuko haukwepeki ila semen tupunguze
 
Back
Top Bottom