Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Lakini ujue nyie mpo wengi sana sasa lazima tuwagawane wote mpate mautamu

Mbona huwa sisikii mkivitongoza vibibi vya 70yrs and above maana hili kundi wengi wako hai na ni wajane na hawa ndio wanaofanya wanawake wawe wengi otherwise idadi ni sawa tu sema wanaume wanakufa mapema sana
 
Mmmmmm, na mwanamke ameumbiwa kula same meal 24/7 eeh?
Na'am dadangu !! Lakini kwanza huwa tunashibisha nyumbani..... Photos Videos Loading more images and videos... " Satisfy the customer and run after new clients " See all 13 videosimages1 / 482 Oct
 
Wanajiendekeza Tu Uchi Uleule Radha Moja Coni Mm Kilichobdilika Nn Nyege Zenu Tu Puuuuh Cwapendi Wanaume

We kwasababu umevurugwa lakini radha ni tofauti. Unajuaje ni ile ile wakati we ni KE. Anayeweza sema ni ME. We kama hupendi wanaume tulia tu uishi peke yako.
 
ctakusahau

Inasababishwa na mwanamke uliye naye kubadilika tofauti na alivyo anza na wewe! hili huchangia mwanaume kuwa na maumivu moyoni ambayo huambatana na upweke,wivu pamoja nakuhisi kudharauliwa ,maumivu haya yanayohitaji
tiba ya aina moja tu, nayo ni KUBEMBELEZWA na kupewa tendo la ndoa bila uchoyo!
 
Last edited by a moderator:
Wanajiendekeza Tu Uchi Uleule Radha Moja Coni Mm Kilichobdilika Nn Nyege Zenu Tu Puuuuh Cwapendi Wanaume

Kama huwapendi wanaume si ukae utulie kwa amani!!! Mbona waja kubwabwaja huku? au umetendwa???
 
Unaposema wanaume hamridhiki... nini hasa?
Maana kama ni michepuko siku hizi akina mama wapo mstari wa mbele
 
kwa sababu ni polygamist by nature.. remember u cant change nature.. pole sana..

pia ni watafutaji na mtafutaji haridhiki na akiridhika anatatizo.. hoja nyepesi za ukweli

mamaaaaa!!miss chaga mama mbona unazidi kuwapa kichwa??
 
wanaume wanasifa za umachine (sex-mashine) tena ni auto... ko ukijua tu hilo unakua huumizi kichwa.
 
Wanajiendekeza Tu Uchi Uleule Radha Moja Coni Mm Kilichobdilika Nn Nyege Zenu Tu Puuuuh Cwapendi Wanaume

pole kwa yalio kusibu ctakusahau.
ingawa naweza nikasema kwamba haina maana ukiumizwa na mmoja basi usipende tena lah, kumbuka maisha lazima yaendelee na mwili lazima utahitaji.
ushauri:-
unapo hisi kuumizwa na ukajiridhisha kwamba umechoshwa na mahusiano uliopo nipoa ukawa muwazi kwa mwenza wako then kila mmoja akaendelea na maisha yake na ikiwapo kuanzisha mahusiano mapya.
 
Last edited by a moderator:
ctakusahau

Kwanza mupo wengi inabidi kila mmoja wenu apate. Pili anaekuwa mmoja duniani Ni mama Mzazi tu. Kwa wengine Ni kugawana kwa kwenda mbele kama nature ilivyo.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…