Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Fuatilia takwimu, wanawake ni wengi kuliko wanaume so kila mwanaume akibaki na mmoja hawa wengine wataenda wapi? au ndo aliyeshiba hamjui mwenye njaa!
 
Nimekuwa nikijiuliza kuhusiana na hii tabia ya wanaume kuwa na wanawake zaidi ya mmoja hivi nini sababu? Au kwanini hamridhiki na mwanamke mmoja? Hili jambo limekithiri kwa sana.

Karibuni wakuu tujadiliane

Kama nyinyi mnavyotafuta wanaume wenye fedha na wanaume nao wanatafuta vitu minato kitu ambacho kimekuwa adimu sana mwa mabinti wa leo ambao mgodi huanza kuchimbwa hata kabla haujakomaa.
 
Mbona huwa sisikii mkivitongoza vibibi vya 70yrs and above maana hili kundi wengi wako hai na ni wajane na hawa ndio wanaofanya wanawake wawe wengi otherwise idadi ni sawa tu sema wanaume wanakufa mapema sana

Kama tunakufa mapema acheni tujilie vyetu tusepe. Nyinyi mnaoishi muda mrefu kila la heri.
 
Wanajiendekeza Tu Uchi Uleule Radha Moja Coni Mm Kilichobdilika Nn Nyege Zenu Tu Puuuuh Cwapendi Wanaume

Njaa inahitaji chakula kupungua amakuisha kwa mda huo but unabadilisha chakula kutokana hamu uliyo nayo ndio maana mtu leo nyama ya ngombe kesho mbuzi mara kitimoto au kondoo nyama ile ile but hamu imetaka ubadilishe tu
Endeleea kuwachukia wanaume wao wataendelea kula chakula kwa kuwabadlisha
 
Wanatamaa na ss wanawake mavazi tunayovaa yanaleta vishawishi kwa wanaume hata kama anapenda ataweza kutulia na mmoja siku zote
 
Wanatamaa na ss wanawake mavazi tunayovaa yanaleta vishawishi kwa wanaume hata kama anapenda ataweza kutulia na mmoja siku zote

Kwanza hicho kivazi ulichovaa hapo kimeshanitamanisha
 

Mtu unayemchukia utaongelea habari zake kila siku za nini. Watuache tuendelee kubadilisha mboga, kwani wao wakipiga mzinga leo ukiwapa wataacha kupiga tena kesho?
 
mimi nadhani ni asili tu ya wanaume tulivyo maana hasa kwa waafrika(na wengine pia) ukiangalia zamani huko hata kabla ya hizi dini kuja mababu zetu walikuwa na wake wengi
 

Nimesoma michango yako hapa unaonekana unabusara ningekuwa single ningekuPM nianze michakato ya kuoa. Haaaaaahaaaaaa
 
mimi nadhani ni asili tu ya wanaume tulivyo maana hasa kwa waafrika(na wengine pia) ukiangalia zamani huko hata kabla ya hizi dini kuja mababu zetu walikuwa na wake wengi

Alafu wao walikuwa wanachukuliwa poa tu, nashangaa sisi kama tunabaniwa vile! michepuko 2 tu, nongwa!
 
Alafu wao walikuwa wanachukuliwa poa tu, nashangaa sisi kama tunabaniwa vile! michepuko 2 tu, nongwa!
Hahaha!! umenichekesha sana,kwa wakati ule iliwalazimu wanawake watulie tu maana wanaume walikuwa madikteta kweli kweli lakini kwa sasa haya mambo ya haki sawa na huu utandawazi unawafanya walete nongwa
 
Hii mada imependelea upande mmoja wa wanaume lakini mwanaume kuwa uhusiano na mwanamke zaidi ya mmoja kwa waislamu dini zao zinaruhusu kwa wengine ni tamaa tuu.

Mfalme Suleiman alikuwa dini gani?
Ibrahim baba wa imani alikuwa dini gani?
 
Kama wewe ni KE, unaweza kuchukua hii kama changamoto "wanawake wengi kwa nini wanashindwa kuwaridhisha wanaume zao?"
 
Nimesoma michango yako hapa unaonekana unabusara ningekuwa single ningekuPM nianze michakato ya kuoa. Haaaaaahaaaaaa

Huyo ni mwanamke bora kabisa, kama amelijua tatizo ni hatua moja kuelekea ufumbuzi. Sio hawa wanaoshinda mitandao ya kijamii kila kitu nyumbani kifanywe na beki 3 then wakiletewa msaidizi tabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…