Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Ni utawala wa ibilisi hao vidume ni vichw box tu.
 
Mm ni ke naamini me hawezi kuwa na mm tu till death cha msingi afanye adabu asinioneshe na dharau sitaki na akitoka na demu mkali zaidi yangu nampa maksi

asante ungekuwa wangu ww mbona ningenenepa.
 
Sitaki ku-justify mwanaume kuwa na wanawake wengi (zaidi ya mmoja) lakini pia tufikirie kidogo suala lifuatalo.

Uwiano wan wanaume kwa wanawake ni karibia sawa japo wanawake wanazidi kidogo. Tujiulize inawezekana vipi mwanaume kuwa na wanawake wengi kama uwiano haupishani sana? Mwanaume anapata wapi wanawake wengi kwa ajili yake peke yake?

Ukweli ni kwamba kati ya hao wanawake wengi wa mwanaume mmoja, pia wana wanaume wengine. Kwamba nao wanawake wana wanaume zaidi ya mmoja kwa maana hiyo. Hili suala liangaliwe kwa pande zote mbili.

Tofauti iliyopo ni kwamba mwanamke hawezi kuolewa rasmi na zaidi ya mwanaume mmoja. Mwanaume muislamu anaoa rasmi hadi wanne. Mkristo anaoa rasmi mmoja lakini kuna vidumu kadhaa pembeni. Vidumu hivyo pamoja na mke wakati mwingine, vina wanaume wengine. Ngoma ni 50/50!
nakukubal sana sibonike.
 
Wanajiendekeza Tu Uchi Uleule Radha Moja Coni Mm Kilichobdilika Nn Nyege Zenu Tu Puuuuh Cwapendi Wanaume

Jinsi ulivyofanya ndiyo sababu ya sisi kuwa na mchepuko make wanawake wengine mna gubu mpaka basi... Utakuwa mmoja wapo.
 
Mmmhh acha tu wanawake waendelee kuwa pasua vichwa, maana kila m'ume naona anaafiki hii mada, ni hatari sana duuh mtu unaweza uctake ndoa kwa mwendo huu, hasa ukisoma comments za jf
 
Soma hii ndoutajua sababu ya wanaume kuwa na wanawake zaidi ya mmoja
 

Attachments

  • 1430744961358.jpg
    1430744961358.jpg
    58.3 KB · Views: 265
nimekuwa nikijiuliza kuhusiana na hii tabia ya wanaume kuwa na wanawake zaidi ya mmoja hivi nini sababu? Au kwanini hamridhiki na mwanamke mmoja? Hili jambo limekithiri kwa sana.

karibuni wakuu tujadiliane

hii thread haijajitosheleza bado haina sifa yakuchangwa
 
Back
Top Bottom