Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Wanajiendekeza Tu Uchi Uleule Radha Moja Coni Mm Kilichobdilika Nn Nyege Zenu Tu Puuuuh Cwapendi Wanaume

Kama hutupenda saja chupa unywe maana mi mwenyewe sikupendi balaaa aha ha ha haaaa.
 
kuwa na mwanamke mmoja tu ni sawa na kuwa na nyimbo moja kwenye simu alafu ile nyimbo uwe unaisikiliza kila siku.hyo nyimbo lazima ikuboe tu..
ikianza kuboa unadownload nyingine..
ndivo sawa na mwanamke tu.
 
Kisayansi na kijamii mwanamke mmoja hatoshi kwa mwanaume. Mahitaji ya ngono kwa mwanaume ni makubwa kuliko kwa mwanamke,hivyo mwanamke mmoja hatoshi kwa mwanaume.
 
tatizo ni nyie wanawake kwa sababu ukishamzoea sana mume wako unakuta hata hutaki kujishughulisha wala nini katika kupeana mambo ila unakuta unajilaza tu kama gogo basi lengo akojoe aachane na ww. hivyo basi akikutana na anaejishughulisha yani anaeyajua mapenzi unasahaulika kabisa.

Pia kitu kingine kwa wanawake hasa wale ambao ni wasomi wanazingua sana make unaeza kuwa una hamu unataka mambo unaambia weeeeee koma nmechoka sana sina nguvu za kufanya hivo.

wapi ninyi hmna shukurani hat tukate mauno ova feni mbovu km mwanaume asili yake haachi kabis. ila point yako ya pil km nakubaliana nayo hvi wabadilike weny tabia hiyo
 
Mbona na nyie wanawake hamridhikii mna migubegube tofauti tofautiii
 
Kila mwanaume akiwa na mwanamke mmoja,wanawake wengi watakosa wanaume. Sababu kubwa ni nyie kuwa wengi.
 
Kila mwanaume akiwa na mwanamke mmoja,wanawake wengi watakosa wanaume. Sababu kubwa ni nyie kuwa wengi.

Wengi ni vikongwe ambao tayari walishazika waume zao na mara nyingi hili kundi halitaki ndoa. So kwa vijana idadi iko poa tu
 
wapi ninyi hmna shukurani hat tukate mauno ova feni mbovu km mwanaume asili yake haachi kabis. ila point yako ya pil km nakubaliana nayo hvi wabadilike weny tabia hiyo

Kumbe ni asili basi haipotei hiyo jata kwa thamani ya roho
 
men has born between the leg of women and they spend alot of time enjoying in that area . there is no place like home.q
 
Umekurupuka,fanya utafiti mdogo tu utagundua sio wanaume pale wanawake ndio wanaongoza kwakuchepuka
 
Back
Top Bottom