Basso seleman
JF-Expert Member
- Feb 11, 2013
- 432
- 118
ni upumbavu tu inawezekana kama utaogopa dhambi bas
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
la boyfriend wangu najua tu analitembeza huko
Kama tunakufa mapema acheni tujilie vyetu tusepe. Nyinyi mnaoishi muda mrefu kila la heri.
sina uhakikana yeye c anasshea ya kwako
Mm ni ke naamini me hawezi kuwa na mm tu till death cha msingi afanye adabu asinioneshe na dharau sitaki na akitoka na demu mkali zaidi yangu nampa maksi
nakukubal sana sibonike.Sitaki ku-justify mwanaume kuwa na wanawake wengi (zaidi ya mmoja) lakini pia tufikirie kidogo suala lifuatalo.
Uwiano wan wanaume kwa wanawake ni karibia sawa japo wanawake wanazidi kidogo. Tujiulize inawezekana vipi mwanaume kuwa na wanawake wengi kama uwiano haupishani sana? Mwanaume anapata wapi wanawake wengi kwa ajili yake peke yake?
Ukweli ni kwamba kati ya hao wanawake wengi wa mwanaume mmoja, pia wana wanaume wengine. Kwamba nao wanawake wana wanaume zaidi ya mmoja kwa maana hiyo. Hili suala liangaliwe kwa pande zote mbili.
Tofauti iliyopo ni kwamba mwanamke hawezi kuolewa rasmi na zaidi ya mwanaume mmoja. Mwanaume muislamu anaoa rasmi hadi wanne. Mkristo anaoa rasmi mmoja lakini kuna vidumu kadhaa pembeni. Vidumu hivyo pamoja na mke wakati mwingine, vina wanaume wengine. Ngoma ni 50/50!
Wanajiendekeza Tu Uchi Uleule Radha Moja Coni Mm Kilichobdilika Nn Nyege Zenu Tu Puuuuh Cwapendi Wanaume
sina uhakika
Wanajiendekeza Tu Uchi Uleule Radha Moja Coni Mm Kilichobdilika Nn Nyege Zenu Tu Puuuuh Cwapendi Wanaume
nimekuwa nikijiuliza kuhusiana na hii tabia ya wanaume kuwa na wanawake zaidi ya mmoja hivi nini sababu? Au kwanini hamridhiki na mwanamke mmoja? Hili jambo limekithiri kwa sana.
karibuni wakuu tujadiliane
Wanajiendekeza Tu Uchi Uleule Radha Moja Coni Mm Kilichobdilika Nn Nyege Zenu Tu Puuuuh Cwapendi Wanaume
miss chagga shikaooits hard to have your on dushelele.. every women mast share
mamaaaaa!!miss chaga mama mbona unazidi kuwapa kichwa??