Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Kwasababu wanawake wenyewe wamekuwa km majogoo michepuko kibao

Tena unakuta mwanamke anafahamu kabisa jamaa ana mke wake au demu wake lakini bila aibu naye anajilengesha hapo hapo. Utalaumu mwanaume hapo?
 
Sitaki ku-justify mwanaume kuwa na wanawake wengi (zaidi ya mmoja) lakini pia tufikirie kidogo suala lifuatalo.

Uwiano wan wanaume kwa wanawake ni karibia sawa japo wanawake wanazidi kidogo. Tujiulize inawezekana vipi mwanaume kuwa na wanawake wengi kama uwiano haupishani sana? Mwanaume anapata wapi wanawake wengi kwa ajili yake peke yake?

Ukweli ni kwamba kati ya hao wanawake wengi wa mwanaume mmoja, pia wana wanaume wengine. Kwamba nao wanawake wana wanaume zaidi ya mmoja kwa maana hiyo. Hili suala liangaliwe kwa pande zote mbili.

Tofauti iliyopo ni kwamba mwanamke hawezi kuolewa rasmi na zaidi ya mwanaume mmoja. Mwanaume muislamu anaoa rasmi hadi wanne. Mkristo anaoa rasmi mmoja lakini kuna vidumu kadhaa pembeni. Vidumu hivyo pamoja na mke wakati mwingine, vina wanaume wengine. Ngoma ni 50/50!
 
Tena unakuta mwanamke anafahamu kabisa jamaa ana mke wake au demu wake lakini bila aibu naye anajilengesha hapo hapo. Utalaumu mwanaume hapo?

Hata mwanaume ukiamua kustaafu hamna kitu , usipo mbato wewe , utambetowa wewe.
 
Nimekuwa nikijiuliza kuhusiana na hii tabia ya wanaume kuwa na wanawake zaidi ya mmoja hivi nini sababu? Au kwanini hamridhiki na mwanamke mmoja? Hili jambo limekithiri kwa sana.

Karibuni wakuu tujadiliane
Tatizo ladies mnazeeka mapema sana sasa sie tukicheki ngoma bado inasoma then totoz kila kukicha wanazaliwa inakuwa vigumu kushikilia palipochoka
 
Possible kama mwanamke anayetembea na mume wa mtu hajaolewa km kaolewa au ana mchumba basi nae hajaridhika na mwanaume mmoja
 
Kila mwanaume awe na mke1wengine watapata nini pamoja na sbb.kadhaa za kimaumbile
 
Nimekuwa nikijiuliza kuhusiana na hii tabia ya wanaume kuwa na wanawake zaidi ya mmoja hivi nini sababu? Au kwanini hamridhiki na mwanamke mmoja? Hili jambo limekithiri kwa sana.

Karibuni wakuu tujadiliane

Chakula kimoja kinaboa kama Chelsea toka ligi imeanza wao tu ! Boring x million
 
CHANZO ni wanawake wenyewe'!!!!
wanakubali kuvua nguo kabla ya kuvaa shela!!! ukifanya ivo lazma uchokwe!!!
 
Tunakimbia virungu ndio sababu kuuu ukishapiga kabla ujaanza kupigwa viboom unakimbilia kupyaa na kwenyewe kukifanikiwa mbioo kabla kibom hakijaja au kunukia punguzeni vibom tutang'ang'ana hapo hapo ila njee ya hapo no
 
Tunakimbia virungu ndio sababu kuuu ukishapiga kabla ujaanza kupigwa viboom unakimbilia kupyaa na kwenyewe kukifanikiwa mbioo kabla kibom hakijaja au kunukia punguzeni vibom tutang'ang'ana hapo hapo ila njee ya hapo no

Hahahaaaaaaaaaaaaa
 
Mm ni ke naamini me hawezi kuwa na mm tu till death cha msingi afanye adabu asinioneshe na dharau sitaki na akitoka na demu mkali zaidi yangu nampa maksi

Mama nakufagilia....
 
Ukiona mwanaume anatoka nje kuna anachokikosa ndani period

"...And vise versa..." Manake ndume nyingine bana, anatoka atokako huko akija ana-mount kaa beberu, nani anataka. Kha, umetoka vitani weye?!
 
Back
Top Bottom