Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Umekurupuka,fanya utafiti mdogo tu utagundua sio wanaume pale wanawake ndio wanaongoza kwakuchepuka

Tena mwingine anajitongozesha kwa mwanaume akijua kabisa huyo ni mume wa mtu. Wanatumia msemo wa tutabanana hapahapa, wako akiwa kwako akitoka nje tunaye...
 
kuwa na mwanamke mmoja tu ni sawa na kuwa na nyimbo moja kwenye simu alafu ile nyimbo uwe unaisikiliza kila siku.hyo nyimbo lazima ikuboe tu..
ikianza kuboa unadownload nyingine..
ndivo sawa na mwanamke tu.

Hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.....
Kwikwikwikwikwikwikwiiiiiiiiiii......
Teheteheteheteheteheeeee....
Uwiiiiiiiiii mbavu zangu umenifanya nicheke kwa sauti usiku huu mpaka nimeamsha watu.

Huu uzi nimeuteua Uzi wa mwezi, nitakuwa natumia kila mara nikishushwa moyo. Kiongozi unastahili tuzo kwa kuniongezea muda wa kuishi.
 

Unastahili kupigiwa mizinga 21.
 
Kama wewe ni KE, unaweza kuchukua hii kama changamoto "wanawake wengi kwa nini wanashindwa kuwaridhisha wanaume zao?"

Wanawake wenyewe wanaolewa K zimeshatumika kama gari za masafa. Umeingia hujui umetoka hujui at least wakati wa uchumba kuna staili fulani akibana mguu utadhani mpya ngoja akuzoee ajiachie utaikimbia na hamu yote kwishaa.
 
Reactions: SMU

Kwanza ukiuliza swali hapa wangapi wameolewa wakiwa Mabikra unaweza usipate mtu. Sasa kama mtu ameanza kabla ya ndoa mwanaume ladha ataitoa wapi. Unachukua lianajike mashine kama mlango wa uwanja wa Taifa nisichepuke mtoto wa watu kwani nina tezi dume!
 
nayule mbungewetu alitupiwa mtoto ofisi zabunge??

Yule mkuu wetu. Wa upinzani. Nakashfa ya dubaï tukaletewa cheti cha mtoto anapelekwa mwananyamala jinalilelie unahisi wanapenda hawa uliza humondani

unahisi. Mnyika nawengine awapendi kuwoowa

Cybercrime imenibana ila kuna mwingine mzito akitembea nchi inatikisika huyo kila mtoto na mama yake mbona hawamsemi?
 
Tushajaribu kuridhika ila malipo ya wanawake wengi ukiwa hivyo ni dharau tu,mwendo wa kuchukuliana poa mwanzo mwisho ctakusahau
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…