Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Katoto kazuri what a man needs is peace, mpe amani mumeo, mheshimu saana pengine kuliko wazazi wako, wapende sana ndugu zake, usimchunguzeeeeeeeeee, mfanye kama mfalme. Mbali na hayo, **** him anytime tena usisubiri akuombe. In short mfanyie umalaya wote unaoujua wewe ili akitoka nje asione jema zaidi yako. Mamaaaaaa, jiweke sopsop mda wote sasa hapa ndo mnafeli, mwanaume wako anarudi home anakukuta na dela aaaaghrrrrrr shwain tena umelichomeka kwenye pant hata haujaoga siku nzima wakati akitoka anakutana na wadada wameupars haswa. Acha tu tuchepuke
Tatizo kubwa wanawake wengi hawajuhi nn wanaume wanataka toka Kwao
 
Unakuta wife ni kisu ila wewe kutwa kulana na wadada nje. Unakuta mke anakuhudumia ila kutwa kwa wengine.

Mpewe nini nyie mridhike kuwa mpo kwenye ndoa takatifu? Kwanini mnakwaza wake zenu wanaobeba mimba miezi 9 wanawazalia watoto kwa uchungu? Nini shida?

Semeni, hili ni jukwaa huru.
Nyie mnabeba Mimba miezi 9.....je sisi tunaobeba Pumbu Miaka nenflda Rudi....na tuko kimya
 
Wanawake tunakoseaga kujifanya kuridhisha wanaume huku tunateseka bure, ni ngumu kumridhisha binadamu eti atulie never on earth, Bora kutafta furaha yako na yeye kuwa extra maisha ni haya haya, huku wanawake wengi hawaridhishwi na tendo wanaume wengi kutwa kuchepuka wanawake wametulia hawachepuki watolewe hamu vizuri na wanaojua show, wanalia kwa manabii, sijui mashekhe na waganga mwishowe wanaliwa tunda kimasihara tu nothing kilichobadilika, mwanaume akikuharribu uwe bwawa anaenda tafta mnato wewe wajiliza Liza huku hakuridhishi, shauri yenu nyie endelea kujipendekeza kufuraisha watu wazima msipo kufa siku si zenu, ukifata hii jamii eti mwanaume ni haki yake kuchepuka huku hakufikishi na ana kibamia na hapo before marriage wanawake majority hu date even more than 100 huku ndoani eti mvumilie?

Ni ngumu kumridhisha mtu mzima kwani wewe Mungu, maana huwezi kuwa perfect 100%
Sasa nini ushauri wako....sasa Ashakuwa bwawa....ungekuwa wewe ungebaki?....Goal likifungwa Lazima Ushangilie Kwenye kibendera
 
Mimi mwenyewe sijawahi kujua nataka nini kwa mwanamke, nikipata mfupi najiona Kuna kitu namiss natafuta mrefu, nikipata mrefu nataka mwenye tako, nikipata mwenye tako nataka mweupe, yaani ni shida tupu na ni nadra sana kupata sifa zote unazotaka kwa mwanamke mmoja
Me too
 
Mwanamke mmoja awezi kuwa na Package iliyokamilika
Na bado utahangaika sana kama hujajua unachokikosa hata tukujazie magunia ya wanawake huwezi tulia.Jitafiti unatafuta nini, unataka nini kwa mwanamke? Kama ni just ngono mbona hutosheki? Ni nini hicho??
Ukiweza kusolve puzzle you are done with utumwa wa ngono.
 
Hivi wanaume mnajua watoto tokea mimba mpaka ampate mpaka akue ni mchezo nani amewahi experience shida kama sio wanawake unamnyonyesha mtoto anakunyonya kama mbwa .
Halafu umuogeshe umpe services zote .
Bado ukija akupikie ule akupe attention kweli yote?
Hii si unaanza ukiwa mkubwa....Sisi Pumbu tumezaliwa Nazo na zinaning'inia na tutakufa Nazo....ushaona siku tunalalamika?
 
Kwani wanawake kwann hamlindani. Mtu anakupa tu hajali una mke na watoto yaani anakutengenezea mazingira ilimradi umle tu.
 
Mtu kaoa juzi tu hata wiki mbili hazijaisha,Anatongoza na kutoa ahadi kedekede,

Lakini ukweli ni kwamba yupo kwenye ndoa,

Mie najiuliza tatizo ni nini hasa kwa hawa kaka zetu?

Kutulia na mke mmoja hamuwezi?

BADILIKA TAFADHALI.
Ni raha kwa mwili
 
wengi wa wanaochepuka huwa wana dushelele kuanzia nchi 6.5 na kuendelea

fuatilia hii case study utaniambia kuwa ni kweli.

yani ukishasifiwa tu na Munkari, basi utataka ichana, sweetlicious, preta, karucee, na king'asti wajue!

lazima uchepuke tu kutangaza ubingwa..
Hahaha
 
Back
Top Bottom