Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Kuna k moja nlikutana nayo inae nyama nyama mingi ndani sio mchezo

It was such a amaxing pussy ever,ila sura yake ndio bala lingine

Japo nimeowa ila namkubali mbaya
 
Hapa kuna mambo mawili, kuna hitaji la kuwa na Mwenza ambaye ndiye Mke na kuna mahitaji ya mwili (tamaa ya kiume)...kwa bahati mbaya ukishazaliwa wa kike hilo la pili huwezi kulielewa kamwe.

Wanawake vs Wanaume ni kama pipi vs Mtoto, kwamba umemuacha dukani na unamsisitizia achague pipi moja tu kati ya maelfu zilizopo pale ale alafu akae akusubiri mpaka utakaporudi baada ya saa kadhaa...hivyo kutokuchukua zaidi ya pipi moja itatokana tu na uoga utakaomjaza, kwamba akila nyingi atakufa, au atapatwa na mashetani n.k...lakini sio kwamba umemuondolea tamaa/hamu yake ya pipi tofauti tofauti.
 
maandiko yanasemaje kwani mtoto mzuri.......................?
 
Huwezi kuwa peace kama unataka matatizo tu . Always if you treat a lady well no war inside the house kuna watu wanatembea mpaka wanaacha wenyewe hata wake zao hawajui wewe ninani unafumaniwa kama limbukeni??
Enda kwa siri ila lazima muweke matangazo.
Kwenye ndoa mwenye ndoa zaidi ni mwanamke ndio maana ikasemwa mwanamke mpumbavu atavunja ndoa yake na hakuambiwa mwanaume.

Enyi waume wapendeni wake zenu
Enyi wake watiini waume zenu angalia tofauti ya maneno haya

Katoto kazuri Fanya hivi kwenye ndoa yako mtii mmeo na mpe peace hapo ukiachika basi kuna mkono wa mtu.

HAKUNA MWANAUME MKOROFI MBELE YA MWANAMKE MNYENYEKEVU....
 
Kwenye ndoa mwenye ndoa zaidi ni mwanamke ndio maana ikasemwa mwanamke mpumbavu atavunja ndoa yake na hakuambiwa mwanaume.

Enyi waume wapendeni wake zenu
Enyi wake watiini waume zenu angalia tofauti ya maneno haya

Katoto kazuri Fanya hivi kwenye ndoa yako mtii mmeo na mpe peace hapo ukiachika basi kuna mkono wa mtu.

HAKUNA MWANAUME MKOROFI MBELE YA MWANAMKE MNYENYEKEVU....
Kwa hiyo ukikuta mesage za,mwanamke mwingine kapewa 1ml unapiga kimya si ndio??
 
Unakuta wife ni kisu ila wewe kutwa kulana na wadada nje. Unakuta mke anakuhudumia ila kutwa kwa wengine.

Mpewe nini nyie mridhike kuwa mpo kwenye ndoa takatifu? Kwanini mnakwaza wake zenu wanaobeba mimba miezi 9 wanawazalia watoto kwa uchungu? Nini shida?

Semeni, hili ni jukwaa huru.
Tunakosa utelezi
 
Kwenye ndoa mwenye ndoa zaidi ni mwanamke ndio maana ikasemwa mwanamke mpumbavu atavunja ndoa yake na hakuambiwa mwanaume.

Enyi waume wapendeni wake zenu
Enyi wake watiini waume zenu angalia tofauti ya maneno haya

Katoto kazuri Fanya hivi kwenye ndoa yako mtii mmeo na mpe peace hapo ukiachika basi kuna mkono wa mtu.

HAKUNA MWANAUME MKOROFI MBELE YA MWANAMKE MNYENYEKEVU....
Mwanamke kajioa mwenyewe??
Mwanaume ndio mwenye ndoa yeye ndio ameoa si mwanamke kichwa cha familia ni mama eh!
 
Hii iko kwenye real life watu wanateseka kisa nyie halafu full maigizo jueni hili when a woman cheat once you will suffer and hurt forever . I tell u you will cheat with many her she will cheat once and you will regreat it.
 
Hapa kidogo naweza elewa Kuna baadhi ya ME wanachepuka kwa tamaa zao tu yaani umalaya upo kwenye damu hata umpe nini hatulii ili kundi hata KE wapo ila kundi la pili ni wale wanalazimishwa kuchepu wanawake tukiolewa baadhi yetu tunajisahau sana tena sana yaani mumeo unamchukulia poa sana ;usafi unapunguza;mahaba ya moto yanapungua;huko kwenye sex ndo sisemi yaani unafanya kama umelazimishwa coz ushamzoea mume wako alooooo la mwisho ni midomo [emoji28][emoji28]jmn kuna wanawake wana midomo kosa dogo anamchqmba mume kama anachambana na kahaba maneno yote atamaliza week mume kanuniwa na kulala mzungu nne jmn jmn kwa tabia hizi hawatoacha kuchepuka hawa viumbe kuna ME nishashuhudia kabisa hana mda wala nafasi ya mchepuko yuko happy na mkewe tubadilike wamama tuweke amani kwa ndoa zetu na nyie wanaume jitahidi ku Appreciate effort ya mkeo kuchepuka sio sifa mnaishia kudhalilishana ya yule wa moshi[emoji28][emoji28][emoji28]eti hata mi sielewi kwanini nilikuwa nachepuka lbda kuna kitu aliniwekea thubutuuu [emoji119][emoji28][emoji28][emoji28][emoji2088]nilicheka sana utetezi wa yule baba jmn!!
Katoto kazuri what a man needs is peace, mpe amani mumeo, mheshimu saana pengine kuliko wazazi wako, wapende sana ndugu zake, usimchunguzeeeeeeeeee, mfanye kama mfalme. Mbali na hayo, **** him anytime tena usisubiri akuombe. In short mfanyie umalaya wote unaoujua wewe ili akitoka nje asione jema zaidi yako. Mamaaaaaa, jiweke sopsop mda wote sasa hapa ndo mnafeli, mwanaume wako anarudi home anakukuta na dela aaaaghrrrrrr shwain tena umelichomeka kwenye pant hata haujaoga siku nzima wakati akitoka anakutana na wadada wameupars haswa. Acha tu tuchepuke
 
kabisa mkuu wkt mwingine mnasababishiwa kuna baadhi ya wanaume wanajiheshimu sana tu sema mapenzi ya ndani yanamfanya awe mbaya na akianza kuchepuka sisi ni kulia lia tu bila kujua chanzo ni wewe wengine anaweza kukwambia kabisa vitu asivyopenda au vile ulivyobadilika na hii hutokea sana pindi KE akianza kupata watoto ndoa nyingi fujo huanzia hapo
Muondelee kutuombea tuu mama angu.actually hakuna lolote la maana tuu huko nje zaidi zaidi kupoteza hela tuu.

Ila pia na nyie jaribuni kuheshim hisia za waume zenu kuna ile tabia ya kumchukulia mume poa kiasi hata radha ya mke inapotea.

Jaribu kurudisha yale mapenzi ya wakati wa uchumba.wanaume wengi ukiwaboa kitu huwa hawako wazi kukwambia wanakuacha usije ukakwazika.wanatafuta plan B ya kusolve hiyo kero.halafu wewe wanakuacha salama ili ndani pawe na amani uendelee kulea familia.So the botom line tunahitaji kujuana vizuri.inaweza kupunguza hii tabia.Ujue hata wengiwetu kuchepuka hatupendi kabisa ila kuna presure ambayo sometimes inasababishwa na mahusiano ya ndani.usipokiwa makini kuidhibiti inakushinda nguvu.Fuatilia mafundisho ya Dr.Mitimingi yatakusaidia.Yule jamaa alijaribu kuelezea tabia za wanaume kwa ufasaha. Achana na Dr. Mauki.
 
Back
Top Bottom