Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ha ha ha ha basi muache aendelee kugonga njeKama mimi nimekubali matokeo ila mwanaume wanaume ni wale wale ila kweli kuna wanawake hawatoi hata tigo ila wanajua mapenzi nini??
Sasa usitoe matumizi utaniambia nyege wewe nakulamba lamb a mpaka ulewekee.ha ha ha ha basi muache aendelee kugonga nje
ha ha ha ha hebu tupe uzoefu wa ndoaSasa usitoe matumizi utaniambia nyege wewe nakulamba lamb a mpaka ulewekee.
Nenda njee halafu uje huna hela nakuto sadaka watoto wafaidi hela zilizotokana na baba yao.ha ha ha ha hebu tupe uzoefu wa ndoa
Zina ladha tofautiKivipi??
Kwenye ndoa mwenye ndoa zaidi ni mwanamke ndio maana ikasemwa mwanamke mpumbavu atavunja ndoa yake na hakuambiwa mwanaume.Huwezi kuwa peace kama unataka matatizo tu . Always if you treat a lady well no war inside the house kuna watu wanatembea mpaka wanaacha wenyewe hata wake zao hawajui wewe ninani unafumaniwa kama limbukeni??
Enda kwa siri ila lazima muweke matangazo.
Kwa hiyo ukikuta mesage za,mwanamke mwingine kapewa 1ml unapiga kimya si ndio??Kwenye ndoa mwenye ndoa zaidi ni mwanamke ndio maana ikasemwa mwanamke mpumbavu atavunja ndoa yake na hakuambiwa mwanaume.
Enyi waume wapendeni wake zenu
Enyi wake watiini waume zenu angalia tofauti ya maneno haya
Katoto kazuri Fanya hivi kwenye ndoa yako mtii mmeo na mpe peace hapo ukiachika basi kuna mkono wa mtu.
HAKUNA MWANAUME MKOROFI MBELE YA MWANAMKE MNYENYEKEVU....
Tunakosa uteleziUnakuta wife ni kisu ila wewe kutwa kulana na wadada nje. Unakuta mke anakuhudumia ila kutwa kwa wengine.
Mpewe nini nyie mridhike kuwa mpo kwenye ndoa takatifu? Kwanini mnakwaza wake zenu wanaobeba mimba miezi 9 wanawazalia watoto kwa uchungu? Nini shida?
Semeni, hili ni jukwaa huru.
SawaaaTunakosa utelezi
Labdaaa ila familia ipo mikononi mwako kuikosa siwaelewisijui kwa kweli, mm nina mke lakini hapa natongoza muda huu sijui unanisema mm
Mwanamke kajioa mwenyewe??Kwenye ndoa mwenye ndoa zaidi ni mwanamke ndio maana ikasemwa mwanamke mpumbavu atavunja ndoa yake na hakuambiwa mwanaume.
Enyi waume wapendeni wake zenu
Enyi wake watiini waume zenu angalia tofauti ya maneno haya
Katoto kazuri Fanya hivi kwenye ndoa yako mtii mmeo na mpe peace hapo ukiachika basi kuna mkono wa mtu.
HAKUNA MWANAUME MKOROFI MBELE YA MWANAMKE MNYENYEKEVU....
Because sometimes mnakuwa hamjitambui na mnajitambuaSasa kwann ukatae maoni ya mtu?
Katoto kazuri what a man needs is peace, mpe amani mumeo, mheshimu saana pengine kuliko wazazi wako, wapende sana ndugu zake, usimchunguzeeeeeeeeee, mfanye kama mfalme. Mbali na hayo, **** him anytime tena usisubiri akuombe. In short mfanyie umalaya wote unaoujua wewe ili akitoka nje asione jema zaidi yako. Mamaaaaaa, jiweke sopsop mda wote sasa hapa ndo mnafeli, mwanaume wako anarudi home anakukuta na dela aaaaghrrrrrr shwain tena umelichomeka kwenye pant hata haujaoga siku nzima wakati akitoka anakutana na wadada wameupars haswa. Acha tu tuchepuke
Muondelee kutuombea tuu mama angu.actually hakuna lolote la maana tuu huko nje zaidi zaidi kupoteza hela tuu.
Ila pia na nyie jaribuni kuheshim hisia za waume zenu kuna ile tabia ya kumchukulia mume poa kiasi hata radha ya mke inapotea.
Jaribu kurudisha yale mapenzi ya wakati wa uchumba.wanaume wengi ukiwaboa kitu huwa hawako wazi kukwambia wanakuacha usije ukakwazika.wanatafuta plan B ya kusolve hiyo kero.halafu wewe wanakuacha salama ili ndani pawe na amani uendelee kulea familia.So the botom line tunahitaji kujuana vizuri.inaweza kupunguza hii tabia.Ujue hata wengiwetu kuchepuka hatupendi kabisa ila kuna presure ambayo sometimes inasababishwa na mahusiano ya ndani.usipokiwa makini kuidhibiti inakushinda nguvu.Fuatilia mafundisho ya Dr.Mitimingi yatakusaidia.Yule jamaa alijaribu kuelezea tabia za wanaume kwa ufasaha. Achana na Dr. Mauki.