Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka tupewe wanawake wengi ndo tutaridhika.Unakuta wife ni kisu ila wewe kutwa kulana na wadada nje. Unakuta mke anakuhudumia ila kutwa kwa wengine.
Mpewe nini nyie mridhike kuwa mpo kwenye ndoa takatifu? Kwanini mnakwaza wake zenu wanaobeba mimba miezi 9 wanawazalia watoto kwa uchungu? Nini shida?
Semeni, hili ni jukwaa huru.
ungeuliza tu hao wanaume mnaowananga wanalala na nani?Hivi wanawake nyie hampchepuki ama!?
Sema kwanini watu wanachepuka sana siku hizi
Eeeh!! Usinambiee jirani. 🤔🤔Naaam.....
Sisi wanaume huwa tuna udhaifu. Haata manabii walikuwa hawana mke mmoja.
Mvumilie tuu wadada
Dume tu la mbuzi majike kumi, jogoo majike kumi unataka uwe pke yako we Nani?Unakuta wife ni kisu ila wewe kutwa kulana na wadada nje. Unakuta mke anakuhudumia ila kutwa kwa wengine.
Mpewe nini nyie mridhike kuwa mpo kwenye ndoa takatifu? Kwanini mnakwaza wake zenu wanaobeba mimba miezi 9 wanawazalia watoto kwa uchungu? Nini shida?
Semeni, hili ni jukwaa huru.
Itakuwa na midoli naonaungeuliza tu hao wanaume mnaowananga wanalala na nani?
Usifananishe mnyama na binadamu anayejitambua .Dume tu la mbuzi majike kumi, jogoo majike kumi unataka uwe pke yako we Nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
SikuelewiWewe katoto kazuri, nataka nikuhakikishie kwamba zile hazifanani kabisaaaa! na kwamba uzuri wa umbo na sura ya mwanamke unaweza kuwa inversely proportional kwa naniliuuu... Hili ndo hutufanya tusiishe kuonja !
Wewee mimi mume wangu hajanionyeshelea kuwa anao nasishiki cmu yake hii ni mada tu kama hujui.Naaam.....
Sisi wanaume huwa tuna udhaifu. Haata manabii walikuwa hawana mke mmoja.
Mvumilie tuu wadada
ww tena unavyo zijua wala sishtuki na hii comment yako.😆😆😆K zinatofautiana
Kwahiyo wanaume akili zao zipo kama dume la mbuzi , jogoo ? Acha hizo binadamu Mungu kamuumba na akili, utashi pia ndiyo maana hayo mambo hufanywa sirini, ndiyo maana tuliambiwa tutawale wanyama, samaki na ndegeDume tu la mbuzi majike kumi, jogoo majike kumi unataka uwe pke yako we Nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
ha ha ha huo ndio ukweli mkuu, ukiona wengine wametulia ndani bila kutoka toka nje jua wanavumiliana tu au wamekubali matokeoww tena unavyo zijua wala sishtuki na hii comment yako.😆😆😆
Unaweza kuta demu mkali ila mashine mbovu au ananuka KUnakuta wife ni kisu ila wewe kutwa kulana na wadada nje. Unakuta mke anakuhudumia ila kutwa kwa wengine.
Mpewe nini nyie mridhike kuwa mpo kwenye ndoa takatifu? Kwanini mnakwaza wake zenu wanaobeba mimba miezi 9 wanawazalia watoto kwa uchungu? Nini shida?
Semeni, hili ni jukwaa huru.
ww tena machakataji sina chakukubishia.ha ha ha huo ndio ukweli mkuu, ukiona wengine wametulia ndani bila kutoka toka nje jua wanavumiliana tu au wamekubali matokeo