COMPTON BLVD
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 682
- 615
Tunaridhika, huyo uliyenaye hana tabia ya kuridhika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli eh!No hiyo ni excuse, vijana wanalia kila siku humu
Tusingeona kwa machooTunaridhika, huyo uliyenaye hana tabia ya kuridhika
Wewee jibu swari ??Mngekuwa mnatukatalia haya yote yasingetokea. Tatizo hamtukatalii na mauno mnatukatikia...
Sasa kosa ;etu liko wapi?
Jamani sijui mtaelewa point yangu lini??Ni kutokana tuu na ugumu wa maisha lkn hakuna mwanaume anaridhika na mwanamke mmoja....That's the truth
Mawife mkishazaa mnahamishia upendo kwa watoto.. Sasa swala la ukisu sio issue maana huwa mnavijitabia fulani pia.Unakuta wife ni kisu ila wewe kutwa kulana na wadada nje. Unakuta mke anakuhudumia ila kutwa kwa wengine.
Mpewe nini nyie mridhike kuwa mpo kwenye ndoa takatifu? Kwanini mnakwaza wake zenu wanaobeba mimba miezi 9 wanawazalia watoto kwa uchungu? Nini shida?
Semeni, hili ni jukwaa huru.
Kwanini usichukue jukumu la kumsaidia kazi mkeo naye apumzike??Mawife mkishazaa mnahamishia upendo kwa watoto.. Sasa swala la ukisu sio issue maana huwa mnavijitabia fulani pia.
Hata hivyo usitufatilie sana hata sisi sababu hatujui tunatenda tu kazi yake yeye..😂
Hana ni mtu kashajichokeaTunaridhika, huyo uliyenaye hana tabia ya kuridhika
Kama mwanaume aliyekuoa alikuwa kicheche atapitia mapito ya zamaniUnakuta wife ni kisu ila wewe kutwa kulana na wadada nje. Unakuta mke anakuhudumia ila kutwa kwa wengine.
Mpewe nini nyie mridhike kuwa mpo kwenye ndoa takatifu? Kwanini mnakwaza wake zenu wanaobeba mimba miezi 9 wanawazalia watoto kwa uchungu? Nini shida?
Semeni, hili ni jukwaa huru.
...😂😂😂...Ukizaliwa mwanaume wewe unakuwa ni taasisi. Hamna taasisi yenye MTENDAKAZI mmoja.
...😂😂😂...Ukizaliwa mwanaume wewe unakuwa ni taasisi. Hamna taasisi yenye MTENDAKAZI mmoja.
Dunia ina mamboo msilazimishe watu kuishi vibaya kisa mnamatatizo yenu??Kama mwanaume aliyekuoa alikuwa kicheche atapitia mapito ya zamani
Mpaka sasa ajue kuwa amekosa nikazi ingine.Ni tamaa tu,japo kuna stage itafika kama mwanaume unagundua kwamba mwanamke mmoja anatosha sana!
Naomba fungua PM malamoja, there some issues.Very complicated movie with no subtitle...
Watakuwa wameelewa, mke ni wa kuheshimiwa, ila mchepuko unaufanyisha kazi unavyotaka wewe, utapigwa staili zote, kila aina ya mapenzi utafanyishwa lakini mke huwezi unambakizia nguvu za kuweza kuhudumia watoto siku ya pili. Ndio maana michepuko mingi mchana inalalaNi kweli, mfano mimi siwezi kumpa wife ambae nimezaa nae mic aimbe ila mchepuko utashika mic na kuimba kila tukikutana.
Kabla ya ndoa mapenzi kutoka kwenu ni hatari. Hata asali au sukari hazioni ndani. Ikija ndoa na watoto ndiyo vituko vinaanza. Hakuna kukatika wala yale mabusu. Wengine wanajiachia wawa kama Bomu limelipuka miilini mwao. Hakuna kuvaa sexy wala ule usafi kama zamani. Dharau kufoka na kutokuwa na heshima kunazidi. Yawa shida. Wategemea mwanaume atafanya nini?!Unakuta wife ni kisu ila wewe kutwa kulana na wadada nje. Unakuta mke anakuhudumia ila kutwa kwa wengine.
Mpewe nini nyie mridhike kuwa mpo kwenye ndoa takatifu? Kwanini mnakwaza wake zenu wanaobeba mimba miezi 9 wanawazalia watoto kwa uchungu? Nini shida?
Semeni, hili ni jukwaa huru.