Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Humu hatupigani unaelezwa ukweli halafu hutaki.
Unataka usifiwe na hujitambue nope

Usiwe mvivu kusoma,nimekuambia
soma aya ya tatu katika bandiko
langu la mwanzo.

Au naongea na mtoto??Kwa kukusaidia nimesema hivi;
"Unamkuta mwanawake yuko rough muda mwingi,ilihali hakuna sababu inayomfanya awe hivyo"
So jibu la hoja yako liko hapa,nashangaa kwa nini umekuwa mkali kwa kauli hii.
Au nawe uko rough??
 
Kama thinking capacity yako ndiyo
hii,aliyekuoa amepata hasara.
Na kama hujaolewa bora usiolewe
maana utamsumbua kijana wa
watu katika ndoa.
Mimi na ndoa yangu kwanza haikuhusu .
Kumfumania huo muda sina halafu kwanza tangia lini mume wangu awe na muda wa kulumbana na mimi kwani hajitambui kwani hatambui majukumu yake??
Wanaume 90% hawajui ndoa nini nandio maana wake zao wamechoka kam nini
 
Mimi na ndoa yangu kwanza haikuhusu .
Kumfumania huo muda sina halafu kwanza tangia lini mume wangu awe na muda wa kulumbana na mimi kwani hajitambui kwani hatambui majukumu yake??
Wanaume 90% hawajui ndoa nini nandio maana wake zao wamechoka kam nini

Pole kwa matatizo ya ndoa,tazama ulipoanguka,inuka jikung'ute mavumbi,muombe Mungu.
Songa mbele kwa tahadhari.
SWALI;
Kuna mahali nimesema mumeo huwa analumbana na wewe?
Au kuna mahali nimeongelea
kufumania?
 
Tunapenda kwa vipande sasa unakuta mke anakipande kimoja kwaiyo ni lazma kutafuta vipande vingine ili kuunganisha kiwe kitu kimoja
 
Mimi na ndoa yangu kwanza haikuhusu .
Kumfumania huo muda sina halafu kwanza tangia lini mume wangu awe na muda wa kulumbana na mimi kwani hajitambui kwani hatambui majukumu yake??
Wanaume 90% hawajui ndoa nini nandio maana wake zao wamechoka kam nini
Kama wewe ulivyochoka,hadi jamaa anacheki alternative?? 😂 😂 😂
 
Its seems you have mental problems.
Na usipende kuanika matatizo ya ndoa yako hapa jukwaani.POLE.
Mimi sina shida na ndoa yangu best ungejua napendwa na kupenda sijaforce penzi hata akitoka nje i dont care kwa sababu majukumu anajua .
 
Hakuna mtu mkamilifu, aliyepewa vyote. Ni muhimu kutumia kadhaa ili kupata radha na raha tofautitofauti
 
hakuna mwanaume anaeridhika na mwanamke mmoja Mungu hajamuumba mwanamme huyo tangu dunia ianze na kama akikuambia anaridhika na wew huyo ni muongo..ndo maana Mungu kajalia wanawake ni wengi kuliko sisi.
na Mungu anapenda tustareheke na tupumzike kwa viumbe hawa so msipanik kabisa furahie suala hilo kwasababu ni kheri kwenu pia
 
Sawa msaidie kazi ili apate muda wakujiweka sawa maana kulea mtoto na bado apike ule bado alee mtu mzima pia sio kazi rahisi mke anayeenda kazini huyo ndio atajiweka fresh ili asiaibike
akiwa na unyenyekevu na peace ipo automatic man unajikuta unatoa msaada wa kazi hapo nyumbani lkn nyumba ikiwa ina kelele nyingi toka kwa ke basi me atakuwa anarudi kulala huku akitamani pakuche fasta asepe [emoji3][emoji3]
 
hakuna mwanaume anaeridhika na mwanamke mmoja Mungu hajamuumba mwanamme huyo tangu dunia ianze na kama akikuambia anaridhika na wew huyo ni muongo..ndo maana Mungu kajalia wanawake ni wengi kuliko sisi.
na Mungu anapenda tustareheke na tupumzike kwa viumbe hawa so msipanik kabisa furahie suala hilo kwasababu ni kheri kwenu pia
Basi msioe endeeleni kuzini.
 
ni hulka yetu bana sina nachokosa ila ni mambo toka enzi sas kwann niende knyume na mizimu ya wanaume walionitangulia
 
Basi msioe endeeleni kuzini.
hapana cha msingi ni kujiwekea limit na kumthamini ulie nae ila mahitaji ya mwanaume si mwanamke mmoja. tunjitahid kupambana tusiwakwaze wake zetu. ndio maana tukaruhusiwa kuoa wa 4 japo na bado haikidhi vile vile macho yatakutoka tuu..kikubwa ni kukandamiza nafsi
 
Back
Top Bottom