Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utulivu kwako una udefine vipi!?USIOE MPAKA MWISHOO KAMA HUTULI
Hahaha kwa hii sura yako dhahili lazima ulizike tu.Tunaridhika bhana. Labda huyo mmoja unayemjua ndo haridhiki!!
Ni kweli, mfano mimi siwezi kumpa wife ambae nimezaa nae mic aimbe ila mchepuko utashika mic na kuimba kila tukikutana.Huko nje vingi huwa vinafuatwa , ambavyo hauwezi omba ndani kwa mkewe. Nadhani umenielewa,una swali jingine
Ha ha ha ha ha,,mkuu umenichekesha sana nadhani ujumbe kaupataDada hata sisi tunabeba pumb* maisha yetu yote
Ndio na sisi tukitafta watu tofauti mtulieHakuna tunachokosa, saa ingine tunachepuka na wadada ambao wamezidiwa Uzuri Mara 10 na wake zetu!
Kikubwa ni kuwa Wanaume tukichepuka haimaanishi kuwa Tunawapenda tunaochepuka nao, mara nyingi hatuna hata sababu.
Tatizo nyie hamuchepuki mpaka muhamishe Upendo wote kwa Mchepuko ndo mchepuke....Ndio na sisi tukitafta watu tofauti mtulie
Na bado utahangaika sana kama hujajua unachokikosa hata tukujazie magunia ya wanawake huwezi tulia.Jitafiti unatafuta nini, unataka nini kwa mwanamke? Kama ni just ngono mbona hutosheki? Ni nini hicho??Mimi mwenyewe sijawahi kujua nataka nini kwa mwanamke, nikipata mfupi najiona Kuna kitu namiss natafuta mrefu, nikipata mrefu nataka mwenye tako, nikipata mwenye tako nataka mweupe, yaani ni shida tupu na ni nadra sana kupata sifa zote unazotaka kwa mwanamke mmoja
Basi usioe mpaka utambue mwanamke ni yule yule tatizo ni moja tu maumbile kwa hiyo ridhika na mmoja.Mimi mwenyewe sijawahi kujua nataka nini kwa mwanamke, nikipata mfupi najiona Kuna kitu namiss natafuta mrefu, nikipata mrefu nataka mwenye tako, nikipata mwenye tako nataka mweupe, yaani ni shida tupu na ni nadra sana kupata sifa zote unazotaka kwa mwanamke mmoja
Mwachee dunia hadaa walimwengu shujaa.Na bado utahangaika sana kama hujajua unachokikosa hata tukujazie magunia ya wanawake huwezi tulia.Jitafiti unatafuta nini, unataka nini kwa mwanamke? Kama ni just ngono mbona hutosheki? Ni nini hicho??
Ukiweza kusolve puzzle you are done with utumwa wa ngono.