Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Mbona uko emotinal sana, Umefumania nini wewe kama una heshimiwa na kupewa mahitaji yako tulia tu na rea watoto, Sisi gemu za nje kuacha ni impossible hata uweke miss Dunia ndani, show za nje lazima
Yani mfano nisafiri kikazi wiki mbili nifike huko nilale guest wiki zote mbili bila mtu, Sasa hio haina maana kabisa
Mimi siwezi fumania mzee maana hata simu yake sina mawazo ya kuishika .
Ila kunashida moja nimeona tokea single hadi now wanaume wachepukaji ni waliooa sasa sijui kwanini .
Tuelezeni.
 
Wanawake tunakoseaga kujifanya kuridhisha wanaume huku tunateseka bure, ni ngumu kumridhisha binadamu eti atulie never on earth, Bora kutafta furaha yako na yeye kuwa extra maisha ni haya haya, huku wanawake wengi hawaridhishwi na tendo wanaume wengi kutwa kuchepuka wanawake wametulia hawachepuki watolewe hamu vizuri na wanaojua show, wanalia kwa manabii, sijui mashekhe na waganga mwishowe wanaliwa tunda kimasihara tu nothing kilichobadilika, mwanaume akikuharribu uwe bwawa anaenda tafta mnato wewe wajiliza Liza huku hakuridhishi, shauri yenu nyie endelea kujipendekeza kufuraisha watu wazima msipo kufa siku si zenu, ukifata hii jamii eti mwanaume ni haki yake kuchepuka huku hakufikishi na ana kibamia na hapo before marriage wanawake majority hu date even more than 100 huku ndoani eti mvumilie?

Ni ngumu kumridhisha mtu mzima kwani wewe Mungu, maana huwezi kuwa perfect 100%
Kwenye ndoa bora uwe msaliti true vingine kazi ipo ndugu yangu kujisemea umsubiri mkulima huyu huyu apande mazao yakue kila mwaka kwenye shamba lile tunakuwa tunajidanganya kabisa .
 
Tatizo nyie hamuchepuki mpaka muhamishe Upendo wote kwa Mchepuko ndo mchepuke....
Hamuwezi Kuiba......
Huwa tunaiba Sana msijiamimishe unafikiria mnaweza kuturidhisha na nyie mnatest tofauti Kuna wanaobembeleza, wakunaji wazuri, wahongaji, wenye mapigo tofauti wenye kujua Sana mapenzi. Ndio Mana nasema kumridhisha binadamu ni ngumu kila mtu atafte furaha yake hyo ya ku expect kwa mtu unaumia.
Hyo ya kuhamisha upendo si kweli Tena wengine huzidisha upendo usishtukie.wanawake wanaiba na wanakuletea watoto nje hujui
 
Kwenye ndoa bora uwe msaliti true vingine kazi ipo ndugu yangu kujisemea umsubiri mkulima huyu huyu apande mazao yakue kila mwaka kwenye shamba lile tunakuwa tunajidanganya kabisa .
Sio msaliti tu usiweke mayai yote kwenye kapu moja kuwa na option hata kumi ukiwa na moja ikizingua mwanzo wa kilio. Kuna watu nawajua wanachepuka hamna ugonvi Wala Nini sijui kumridhisha lazima tukubali Kuna mda una mchoka mtu na ukitoka ujue no real love.
Wanawake tujipe raha kufuraisha binadamu hawaridhiki ng'o
 
Shida wanawake mkishaolewa wengi wenu,mnapunguza utii na heshima
kwa waume zenu.
Mnajisahau kwa upande wa mavazi&mvuto,wanaume tunavutiwa
na muonekano.
Unamkuta mwanamke yuko rough muda mwingi,ilihali hakuna sababu ya kumfanya awe hivyo.
Pia,punguzeni ustaarabu muwapo
katika tendo la ndoa,jitumeni
kama ilivyokuwa before marriage.
NB;
Wanaume tujifunze uvumilivu na
tuache tamaa.
Msaidie hizo kazi zinazomfanya asiende na wakati utaona atarudia kuwa mzuri tena kama malkia wa shamu.
 
Sio msaliti tu usiweke mayai yote kwenye kapu moja kuwa na option hata kumi ukiwa na moja ikizingua mwanzo wa kilio. Kuna watu nawajua wanachepuka hamna ugonvi Wala Nini sijui kumridhisha lazima tukubali Kuna mda una mchoka mtu na ukitoka ujue no real love.
Wanawake tujipe raha kufuraisha binadamu hawaridhiki ng'o
Tuseme hvi tufanye majukumu yetu kama wake halafu tuendelee na zile raha zetu za kila siku.
 
Mara nyingi matatizo hayo yanakuwaga sana kipindi mpo under 28 kwani mawazo yenu yanatuonaga hivi
 

Attachments

  • uu5.jpg
    uu5.jpg
    19.3 KB · Views: 1
Hivi wanaume mnajua watoto tokea mimba mpaka ampate mpaka akue ni mchezo nani amewahi experience shida kama sio wanawake unamnyonyesha mtoto anakunyonya kama mbwa .
Halafu umuogeshe umpe services zote .
Bado ukija akupikie ule akupe attention kweli yote?
 
Hivi wanaume mnajua watoto tokea mimba mpaka ampate mpaka akue ni mchezo nani amewahi experience shida kama sio wanawake unamnyonyesha mtoto anakunyonya kama mbwa .
Halafu umuogeshe umpe services zote .
Bado ukija akupikie ule akupe attention kweli yote?
Kama thinking capacity yako ndiyo
hii,aliyekuoa amepata hasara.
Na kama hujaolewa bora usiolewe
maana utamsumbua kijana wa
watu katika ndoa.
 
wewe humu jf tuu umetembea na wajuba wangapi? tuanzie hapo kwanza
 
Back
Top Bottom