katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,124
- 5,745
Kwa wanawake tumechoka kuwa waaminifu kwa hiyo kuchepuka ni kwa sababu yenu.Hivi wanawake nyie hampchepuki ama!?
Sema kwanini watu wanachepuka sana siku hizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa wanawake tumechoka kuwa waaminifu kwa hiyo kuchepuka ni kwa sababu yenu.Hivi wanawake nyie hampchepuki ama!?
Sema kwanini watu wanachepuka sana siku hizi
Mimi siwezi fumania mzee maana hata simu yake sina mawazo ya kuishika .Mbona uko emotinal sana, Umefumania nini wewe kama una heshimiwa na kupewa mahitaji yako tulia tu na rea watoto, Sisi gemu za nje kuacha ni impossible hata uweke miss Dunia ndani, show za nje lazima
Yani mfano nisafiri kikazi wiki mbili nifike huko nilale guest wiki zote mbili bila mtu, Sasa hio haina maana kabisa
Kwenye ndoa bora uwe msaliti true vingine kazi ipo ndugu yangu kujisemea umsubiri mkulima huyu huyu apande mazao yakue kila mwaka kwenye shamba lile tunakuwa tunajidanganya kabisa .Wanawake tunakoseaga kujifanya kuridhisha wanaume huku tunateseka bure, ni ngumu kumridhisha binadamu eti atulie never on earth, Bora kutafta furaha yako na yeye kuwa extra maisha ni haya haya, huku wanawake wengi hawaridhishwi na tendo wanaume wengi kutwa kuchepuka wanawake wametulia hawachepuki watolewe hamu vizuri na wanaojua show, wanalia kwa manabii, sijui mashekhe na waganga mwishowe wanaliwa tunda kimasihara tu nothing kilichobadilika, mwanaume akikuharribu uwe bwawa anaenda tafta mnato wewe wajiliza Liza huku hakuridhishi, shauri yenu nyie endelea kujipendekeza kufuraisha watu wazima msipo kufa siku si zenu, ukifata hii jamii eti mwanaume ni haki yake kuchepuka huku hakufikishi na ana kibamia na hapo before marriage wanawake majority hu date even more than 100 huku ndoani eti mvumilie?
Ni ngumu kumridhisha mtu mzima kwani wewe Mungu, maana huwezi kuwa perfect 100%
Sawa basi ila jua kama huwezi kuishi na one woman don't get married usije ukaumiza moyo wa mtu pleasee.Maumivu ya kusalitiwa hayana maelezo. Huo mjadala tuuweke pembeni.
Huwa tunaiba Sana msijiamimishe unafikiria mnaweza kuturidhisha na nyie mnatest tofauti Kuna wanaobembeleza, wakunaji wazuri, wahongaji, wenye mapigo tofauti wenye kujua Sana mapenzi. Ndio Mana nasema kumridhisha binadamu ni ngumu kila mtu atafte furaha yake hyo ya ku expect kwa mtu unaumia.Tatizo nyie hamuchepuki mpaka muhamishe Upendo wote kwa Mchepuko ndo mchepuke....
Hamuwezi Kuiba......
Wao haya bhana you mean tigo au??Ukiona Mume ana Mpango wa Kando ujue,,, Mkewe ajuiii Mambo.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Kama kipi??ujue kuna kitu sio lazima ukijue
Kubweteka hivi mnajua maana ya familia trust ukiwa mama unaelewa.Ukiona Bwana anachepuka, jiulize umekosea wapi? Ukibweteka, lazima utasaidiwa na wengine huko nje hakuna namna
Sio msaliti tu usiweke mayai yote kwenye kapu moja kuwa na option hata kumi ukiwa na moja ikizingua mwanzo wa kilio. Kuna watu nawajua wanachepuka hamna ugonvi Wala Nini sijui kumridhisha lazima tukubali Kuna mda una mchoka mtu na ukitoka ujue no real love.Kwenye ndoa bora uwe msaliti true vingine kazi ipo ndugu yangu kujisemea umsubiri mkulima huyu huyu apande mazao yakue kila mwaka kwenye shamba lile tunakuwa tunajidanganya kabisa .
Msaidie hizo kazi zinazomfanya asiende na wakati utaona atarudia kuwa mzuri tena kama malkia wa shamu.Shida wanawake mkishaolewa wengi wenu,mnapunguza utii na heshima
kwa waume zenu.
Mnajisahau kwa upande wa mavazi&mvuto,wanaume tunavutiwa
na muonekano.
Unamkuta mwanamke yuko rough muda mwingi,ilihali hakuna sababu ya kumfanya awe hivyo.
Pia,punguzeni ustaarabu muwapo
katika tendo la ndoa,jitumeni
kama ilivyokuwa before marriage.
NB;
Wanaume tujifunze uvumilivu na
tuache tamaa.
Tuseme hvi tufanye majukumu yetu kama wake halafu tuendelee na zile raha zetu za kila siku.Sio msaliti tu usiweke mayai yote kwenye kapu moja kuwa na option hata kumi ukiwa na moja ikizingua mwanzo wa kilio. Kuna watu nawajua wanachepuka hamna ugonvi Wala Nini sijui kumridhisha lazima tukubali Kuna mda una mchoka mtu na ukitoka ujue no real love.
Wanawake tujipe raha kufuraisha binadamu hawaridhiki ng'o
Fanya Mambo yako Ila kujifanya eti unamfuraisha utaumia tu raha jipe mwenyewe tu. Binadamu anaridhikaje na kitu kimoja mimi binafsi siweziTuseme hvi tufanye majukumu yetu kama wake halafu tuendelee na zile raha zetu za kila siku.
Maisha ni kutulia nikujiheshimu nakujipenda .Mara nyingi matatizo hayo yanakuwaga sana kipindi mpo under 28 kwani mawazo yenu yanatuonaga hivi
Msaidie hizo kazi zinazomfanya asiende na wakati utaona atarudia kuwa mzuri tena kama malkia wa shamu.
Humu hatupigani unaelezwa ukweli halafu hutaki.Soma paragraph ya 3 na uelewe,kilaza wewe!
Usikimbilie ku comment
kabla ya kusoma.
Jibu la kibaharia hili 🔥K zinatofautiana
Kama thinking capacity yako ndiyoHivi wanaume mnajua watoto tokea mimba mpaka ampate mpaka akue ni mchezo nani amewahi experience shida kama sio wanawake unamnyonyesha mtoto anakunyonya kama mbwa .
Halafu umuogeshe umpe services zote .
Bado ukija akupikie ule akupe attention kweli yote?