Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
Kemea shetani.Ni shetani tu. Hakuna kingine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kemea shetani.Ni shetani tu. Hakuna kingine.
haya mbona ni majukumu yako sisterHivi wanaume mnajua watoto tokea mimba mpaka ampate mpaka akue ni mchezo nani amewahi experience shida kama sio wanawake unamnyonyesha mtoto anakunyonya kama mbwa .
Halafu umuogeshe umpe services zote .
Bado ukija akupikie ule akupe attention kweli yote?
Sawa basi ila jua kama huwezi kuishi na one woman don't get married usije ukaumiza moyo wa mtu pleasee.
Usijitetee sana shukuru kwa mtu akilelea mbegu yako na kukuzalia na kukutunzia ila nyie mlioni hilo kutwa kulaumu ,kudharau na hamna shukrani .haya mbona ni majukumu yako sister
sasa kwenye suala la mimba ulitaka wanaume nao tubebe au
ulitaka ukizaa usinyoyeshe? hapa wakumlalamikia ni muumba maana ndo aliamua iwe hivyo
ivi lakini unajua mateso tunayopataga na sisi wakati tunahangaika kusimamia ukucha 😛😛😛
SawaVery complicated movie with no subtitle...
kulelea mbegu wewe unaona ni kama mnatufanyia msaada sio?Usijitetee sana shukuru kwa mtu akilelea mbegu yako na kukuzalia na kukutunzia ila nyie mlioni hilo kutwa kulaumu ,kudharau na hamna shukrani .
Ndio maana nalaumu
Kuwa na mwanamke mmoja ni ndoto ila kuwa na mmoja basi wa kubadilisha mboga sio kila mtu ni wako.hapana cha msingi ni kujiwekea limit na kumthamini ulie nae ila mahitaji ya mwanaume si mwanamke mmoja. tunjitahid kupambana tusiwakwaze wake zetu. ndio maana tukaruhusiwa kuoa wa 4 japo na bado haikidhi vile vile macho yatakutoka tuu..kikubwa ni kukandamiza nafsi
Ndio tunawafanyia msaada wangapi maishani wametoa watoto wenu??kulelea mbegu wewe unaona ni kama mnatufanyia msaada sio?
nyie amhitaji watoto sio?
ilo la kutoa sasa ni jambo lingineNdio tunawafanyia msaada wangapi maishani wametoa watoto wenu??
Wangapi??
Wameshanisikia kabisa sema hawana usemi kisa mmewavuruga wala hawataki mazoea nanyieilo la kutoa sasa ni jambo lingine
nyie mkishafikisha 25 and above mnaanza kushika wanaume mashati ili muolewe mpate watoto
leo hii unasema mnatoaga msaada acha hizo bhana wezako wakikusikia
Weeeee jamani usingeoaNdo maana kukawa na ladha tofaut tofaut...
Kuna....
Strawberry
Vanilla
Chocolate
Ndivyo ilivyo...
Nini?UHUNI tuu.
Ni kutokana tuu na ugumu wa maisha lkn hakuna mwanaume anaridhika na mwanamke mmoja....That's the truthWeeeee jamani usingeoa
uhuni tuu...Nini?
No hiyo ni excuse, vijana wanalia kila siku humuKwa wanawake tumechoka kuwa waaminifu kwa hiyo kuchepuka ni kwa sababu yenu.
Haki kuna wanaume wengine mpaka Shetani mwenyewe anaomba "poo"Ni shetani tu. Hakuna kingine.
Mngekuwa mnatukatalia haya yote yasingetokea. Tatizo hamtukatalii na mauno mnatukatikia...Mpaka sasa hamjatoa jibu la maana, ongezeni