unatumia sample yako na mkeo kugeneralise theory Kwa wana ndoa wote?..wapo wanaume mashga pia,wanaolawiti watoto zao,wabakaji..eeh waje nao basi waseme ni asili ya wanaume na sote tukubaliane hvyo!?yeah ndio wanavyosema ..ni asili..wewe ni mwanaume lakini sio Mungu..ingekuwa hvyo angesema mwanamke usizini..mwanaume ruksa!!..la hasha ..hajasema hvyo..imeandikwa usizini.
Kibo kya ndesi!
Mnadiskasheni nn?.
@aspirin samare with relevant sketch maps and diagrams please!
Usisahau mimi ni mwanaume. Na mambo yetu tunayajua wenyewe. Hata wife wangu anaweza kukuapia hapa duniani hakuna mwanaume mwaminifu kama mimi mme wake mpenzi. Laiti tu angejua..... baaas.
Umekumbuka kunigongea kaLIKE??
Angamiza njia kuu. short cut ndo mpango mzima. Kuchelewesha safari si mpango.
Huu udini umeuanza lini Tayta?
...
Hivi ni watu wa dini gani hawachepuki?
Yaishe mama. Yaelekea unatujua wanaume kuliko tunavyojijua.
Mtu kaoa juzi tu hata wiki mbili hazijaisha,Anatongoza na kutoa ahadi kedekede,
Lakini ukweli ni kwamba yupo kwenye ndoa,
Mie najiuliza tatizo ni nini hasa kwa hawa kaka zetu?
Kutulia na mke mmoja hamuwezi?
BADILIKA TAFADHALI.
Usikimbie bwana ..let's talk..unatumia sample yako kugeneralise vitu..that doesn't make sense.. kutuaminisha wote hivyo..wapo wanaume wajanja nasisitza wapo tna wengiii...mkeo tuu kabata bahati mbaya nadhani
Mtu kaoa juzi tu hata wiki mbili hazijaisha,Anatongoza na kutoa ahadi kedekede,
Lakini ukweli ni kwamba yupo kwenye ndoa,
Mie najiuliza tatizo ni nini hasa kwa hawa kaka zetu?
Kutulia na mke mmoja hamuwezi?
BADILIKA TAFADHALI.
Angamiza njia kuu. short cut ndo mpango mzima. Kuchelewesha safari si mpango.
Wanakufa na kuwaachia wake zao magonjwa ya ajabu,na kusambaza kwa watu wengine,Mwisho wa siku wanabaki watoto wakiteseka bila malezi ya wazazi
Kwa Hiyo Ndoa ni Nini?
Mambo Yanayoizunguka Jamii Ninayoishi,
Imenizidi umri Kivipi??