Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sa unikwaze mie kwani mkeo?hahahahaa..my lungs jamani mie nakuhurumia tuu jinsi ambavyo ukuaji unakusumbua.wanaume Malaya Kwa nature katu hawajitapi hadharani ..that ain't their move a bit""we unajifunza usijali utakua hyo taarfa unayonipa ya uongo danganya watoto wenziooo
Aah kwakwakwaah maskinii umekosa points unaanza kukashfu heheheeh pole mwaya ..wewe ndio jike unae funuliwa marinda na wanaume wenzako kiasi unawajua kutupitaa..hahahaahaaaaaa...ndo maana unashadadia xna uchepukaji kumbe unajitongozesha Kwa Mr za watu maskiniii ..mhhhh poor youuuu...umenoa mjew hafanyi hzo vtu.try else whereeeeeee
Bibie, coming January I will be in my good 64 years. Hivi bado nakua wakati nalea wajukú? mi sasa nalitafuta kaburi. Kuna mabinti wenzako wengi tu hapa JF wananijua na ndo maana wananiita babu. Ishu ya kukukwaza ilikuwa ya Kuolewa na Yesu of which is non of my wife's business. Nlikuomba radhi kwa kuhisi nimeigusa imani yako na si vinginevyo.
Now be a good girl. Dont ever call me mtoto wakati naweza au labda mi ni babu yako.
Ngoja niusubirie uungwana wako.
Jeez!!! kumbe? Ustaarabu wako umeupeleka wapi tena bibie? Haya maneno umeyaandika wewe? Afu kweli unanambia mi bado nakua? You are not fair aisee.
Bibie, coming January I will be in my good 64 years. Hivi bado nakua wakati nalea wajukú? mi sasa nalitafuta kaburi. Kuna mabinti wenzako wengi tu hapa JF wananijua na ndo maana wananiita babu. Ishu ya kukukwaza ilikuwa ya Kuolewa na Yesu of which is non of my wife's business. Nlikuomba radhi kwa kuhisi nimeigusa imani yako na si vinginevyo.
Now be a good girl. Dont ever call me mtoto wakati naweza au labda mi ni babu yako.
Ngoja niusubirie uungwana wako.
Kwa mwanaume ili kuepuka failures palipo na Plan A panakuwa na Plan B pia,Muwe wapole tu jamani.Lakini Tangazo linasema hata wanaNke nao siku hizi wapo ktk michepuko pia.Eti wanasemaga ndo asili yao kuwa na michepuko!!
Then get married to Jesus Christ.
Hilo ni janga jamani. Kweli wanaume wabadilike na huwa sifahamu kwa nn wanaoa Kama hawawezi kukaa na mwanamke mmoja
What?! yo 64?anyway samahami babu.
heshima kwako mzee!! Kuna kitu kimoja unatakiwa kukitambua hasa unapotaka kumsoma mtu. Ukiwa unahojianna na mtu muangalie mboni ya jicho hyo ndio inaeleza ukweli na uwongo wa mtu lakin inatakiwa uwe na utaalam na hyo sayans vile vile kama unaongea na mtu iwe kwenye sim au kwa njia ya text angalia neno lake la kwanza analotamka hlo ndilo linakupa picha nzima ya busara na uelewa na tabia ya mtu. Japo huwez huwez kuisoma tabia yote
Mim ni mwanaume and most of men i know arent faithful as u think... 99 namanisha kuwa ni asimia kubwa japo it's not scientifically researched... What i mean is that the majority of men hatubaki njia kuu
A man is polygamist by nature
Exactly. Ni ukweli ambao ni wanawake wachache sana wanaujua.
shikamoo babu
Kesi yangu na wewe nakushauri tafuta wakili wa kimataifa...