Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unakubaliana na mimi wanawake wanazeeka haraka kuliko wanaume? Mke anakuwa bibi mume bado kabisa kijana halafu ila siku wanazid kuzaliwa wazuri
Heshima kwako mtoa mada. naunga mkono hoja kwa 101%. kugegeda demu 1 kila siku kunachosha. mchepuko ndio mpango mzima.
Asilimia kubwa ya wanaume walio ktk mahusiano wanachepuka na hata wakiingia ktk ndoa haka katabia hakaishi. Genetical mwanaume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja hii nguvu ya asili ni ngumu kuishinda. Sio mbaya mara moja moja kuwa na mechi za nje ila kuwa makini tu achana na michepuko ya vumbi utachakaa.
Asilimia kubwa ya wanaume walio ktk mahusiano wanachepuka na hata wakiingia ktk ndoa haka katabia hakaishi. Genetical mwanaume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja hii nguvu ya asili ni ngumu kuishinda. Sio mbaya mara moja moja kuwa na mechi za nje ila kuwa makini tu achana na michepuko ya vumbi utachakaa.
siku hizi ngoma droo
duh! haya dada mwallu.
Mkwe naona unashindana na Mungu......We dogo ni jiniaz sana. Wanaume wanafiki wanaukataa huu ukweli hadharani lakini huko chocho wanapiga sana tu. Na wanawake wenye busara wanaujua huu ukweli thabiti na wanaukubali kimoyomoyo.
Kaizer kwa ruhusa yako, naomba kumsajidi huyu dogo kwenye chama chetu. Ada ntamlipia mimi.
Mnang'ang'ana kutaka muwe na wanawake zaidi ya mmoja ilhali huyo mmoja tu kumridhisha hamuwezi,wengi wenu kwisha habari,no nguvu za kiume,zilizopo ni za kukisimamisha kidude tu lkn Za game ya maana hakuna!
Mnang'ang'ana kutaka muwe na wanawake zaidi ya mmoja ilhali huyo mmoja tu kumridhisha hamuwezi,wengi wenu kwisha habari,no nguvu za kiume,zilizopo ni za kukisimamisha kidude tu lkn Za game ya maana hakuna!
Nami nishawaambiaa