Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha tu,wamejikremisha uongo wakati ukweli wanaujua,wanadhani kua na wanawake wngi ni sifa wasijue sifa ni kumfanya yule mmoja ulienae aridhike na akuone kidume na c mpaka shombo!umesema kwa hasiraaaa....
Mnang'ang'ana kutaka muwe na wanawake zaidi ya mmoja ilhali huyo mmoja tu kumridhisha hamuwezi,wengi wenu kwisha habari,no nguvu za kiume,zilizopo ni za kukisimamisha kidude tu lkn Za game ya maana hakuna!
punguza hasira basi!
kombe la dunia linaendelea naomba up dates za mechi ya jana tafadhaliAsilimia kubwa ya wanaume walio ktk mahusiano wanachepuka na hata wakiingia ktk ndoa haka katabia hakaishi. Genetical mwanaume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja hii nguvu ya asili ni ngumu kuishinda. Sio mbaya mara moja moja kuwa na mechi za nje ila kuwa makini tu achana na michepuko ya vumbi utachakaa.
Hivi unadhani wenye wake wengi hawachepuki..??sasa kama ndio hivyo kwanini dini zingine zinapinga ndoa za wake wengi?
Mnang'ang'ana kutaka muwe na wanawake zaidi ya mmoja ilhali huyo mmoja tu kumridhisha hamuwezi,wengi wenu kwisha habari,no nguvu za kiume,zilizopo ni za kukisimamisha kidude tu lkn Za game ya maana hakuna!
Na siku hiz wala hamuwez kazi hao wanawake mtawalamba tu maana nguvu za kuboost
wengine wanaishia kukuchafua tu nguvu hakuna jumlisha vibamia sijui hata hiyo michepuko ya nn
Nikimpata asiye chepuka nitampenda milele bila mzani wa upendo kucheza
njoo kwangu ntakuwa mwaminifu sitaweza kuchepuka milele
Inategemea na aina ya mwanamke uliemchagua awe mkeo.Kama ulikurupuka na kuchukua alie chini ya kiwango jua kila utakaepishana nae utamwona ni zaidi ya wa kwako.Utakua dungadunga mwisho wa siku mradi wa damu salama hautakuhusu.
Na siku hiz wala hamuwez kazi hao wanawake mtawalamba tu maana nguvu za kuboost