Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Kwa kifupi, unapoanza tu kuchepuka na mwenzio huku anaanza kuchepushwa.
Ni asili pia.
 
hiyo avatar yako mie hoi ahahahahahaaaaaaaaa
Asilimia kubwa ya wanaume walio ktk mahusiano wanachepuka na hata wakiingia ktk ndoa haka katabia hakaishi. Genetical mwanaume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja hii nguvu ya asili ni ngumu kuishinda. Sio mbaya mara moja moja kuwa na mechi za nje ila kuwa makini tu achana na michepuko ya vumbi utachakaa.
 
Asilimia kubwa ya wanaume walio ktk mahusiano wanachepuka na hata wakiingia ktk ndoa haka katabia hakaishi. Genetical mwanaume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja hii nguvu ya asili ni ngumu kuishinda. Sio mbaya mara moja moja kuwa na mechi za nje ila kuwa makini tu achana na michepuko ya vumbi utachakaa.

“Genetical“ ndio kitu gani mkuu?
 
Hata kwa dawa mchepuko siwezi nabaki njia kuu. Namuomba Mungu azidi kuwa nami niendelee kuwa hivyo mpaka kifo kitutenganishe na mke wangu.
 
kwa hiyo imekuwa sifa sio? hahahaha haya hongereni na michepukooooo mpo juu!!!!!!
 
Mungu wa kweli aliposema oeni wanawake mwisho wanne hakukusea coz anajua jins alivyotuumba
Asilimia kubwa ya wanaume walio ktk mahusiano wanachepuka na hata wakiingia ktk ndoa haka katabia hakaishi. Genetical mwanaume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja hii nguvu ya asili ni ngumu kuishinda. Sio mbaya mara moja moja kuwa na mechi za nje ila kuwa makini tu achana na michepuko ya vumbi utachakaa.
 
Hahahahahaha ukiona hivyo bac ujue nae anachepuka
Nashangaa!!Nikimpenda mwanamke namwambia Kuwa nimeoa;Ila yeye anafanya kila njia njia ili mke Wangu asijue uku akinishawishi nimuoe bila kujua kuwa nikimuoa nitachepuka tena .
 
Unajidanganya ww,mzungu kakupoteza
Kama Mungu angejua hilo angeandika tuoe wake wengi, ila yeye kwa Sababu ni Mungu mmoja hapendi mwanadamu aabudu mungu mwingine, hivyo mwanadamu kuwa na mke wa pili ni sawa na kuwa miungu miwili.
Huwezi tumikia mabwana wawili
 
Mungu wakweli karuhusu mwisho wake wanne,coz alivyotuumba anajua na wanawake ni wengi kuliko wanaume
Mkwe naona unashindana na Mungu......
Yeye aliumba Adam na Eva, angeweza kabisa kuumba Kaizer na Kaunga, Fixed point, snowhite, cacico, gfsonwin, King'asti, Kongosho, Ablessed, ............
Mnajihalalishia tu vitu ambavyo Mungu hakuvipanga..........
Hata wakati wa dhoruba kuu tu, Mungu alimwambia Nuhu achukue kila kiumbe, mke na mume, na siyo mume na wake.......
Usiharibu utaratibu wa Mungu kwa tamaa ya mwili mkwe
 
Last edited by a moderator:
kwa nini ujitwishe mawazo kama haya rafiki?
kwani na wewe unachepuka?

Umeona eeh, ndio ile ile ya kuassume hawezi kuwa muaminifu. Mimi yaani nina amani tele na siwazii kama anaweza chepuka. Na kwa sauti nasema HACHEPUKI. (Maneno huumba ati)

Mambo rafiki, long time. Sijui nini kilitokea, au ndio mishe mishe za maisha.
 
Unakwepeka sema hamjaamua tu mnajilinda kwa hilo angalieni sana
asilimia kubwa ya wanaume walio ktk mahusiano wanachepuka na hata wakiingia ktk ndoa haka katabia hakaishi. Genetical mwanaume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja hii nguvu ya asili ni ngumu kuishinda. Sio mbaya mara moja moja kuwa na mechi za nje ila kuwa makini tu achana na michepuko ya vumbi utachakaa.
 
Naunga mkono hoja yako best "hachepukiki kamwe"
umeona eeh, ndio ile ile ya kuassume hawezi kuwa muaminifu. Mimi yaani nina amani tele na siwazii kama anaweza chepuka. Na kwa sauti nasema hachepuki. (maneno huumba ati)

mambo rafiki, long time. Sijui nini kilitokea, au ndio mishe mishe za maisha.
 
HACHEPUKI (Maneno huumba, hata moyo wangu unaamini vile)

Umeona eeh, ndio ile ile ya kuassume hawezi kuwa muaminifu. Mimi yaani nina amani tele na siwazii kama anaweza chepuka. Na kwa sauti nasema HACHEPUKI. (Maneno huumba ati)

Mambo rafiki, long time. Sijui nini kilitokea, au ndio mishe mishe za maisha.
 
Basi wamekufikisha lol!

We dogo ni jiniaz sana. Wanaume wanafiki wanaukataa huu ukweli hadharani lakini huko chocho wanapiga sana tu. Na wanawake wenye busara wanaujua huu ukweli thabiti na wanaukubali kimoyomoyo.

Kaizer kwa ruhusa yako, naomba kumsajidi huyu dogo kwenye chama chetu. Ada ntamlipia mimi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom