Inatisha snkuna huyo dogo nilimfundisha kutafuta pesa akaenda kuitafuta hilo jini kwa mama flani sumbawanga aisee dogo anakula maisha mijengo,ndinga za kutosha mkewe kila mimba inachomoka kakonda kawa kama kijiti huku pesa ipo kila siku anakula kuku,.tunaojua tume mute kimyaa haya maisha yaache tu
Tukisema uchawi upo Kuna jinga moja linakataaa...kuna huyo dogo nilimfundisha kutafuta pesa akaenda kuitafuta hilo jini kwa mama flani sumbawanga aisee dogo anakula maisha mijengo,ndinga za kutosha mkewe kila mimba inachomoka kakonda kawa kama kijiti huku pesa ipo kila siku anakula kuku,.tunaojua tume mute kimyaa haya maisha yaache tu
Picha?Wanaume hivi kwa wale wanatoa wanawake kafara wanaonaje wenzio nakwanini mnatoa watu kafara??
Rafiki yangu alikuwa anatolewa na mchumba wake kafara isingekuwa maombi kweli leo hii angeenda na kichanga tumboni ila kichanga kilikufa . Mama akabaki kwa bahati nzuri .
Wanaume muwe na roho basi kuua wanawake kisa mali sio fresh.
Acha Imani potofu tafuta elimuWanaume hivi kwa wale wanatoa wanawake kafara wanaonaje wenzio nakwanini mnatoa watu kafara??
Rafiki yangu alikuwa anatolewa na mchumba wake kafara isingekuwa maombi kweli leo hii angeenda na kichanga tumboni ila kichanga kilikufa . Mama akabaki kwa bahati nzuri .
Wanaume muwe na roho basi kuua wanawake kisa mali sio fresh.
Kuna ishu ya kafara na kuna ishu ya family background ndio maana inapaswa kujua historical background ya familia unayoenda kuoa/kuolewa. Mambo ni mengi mnoHivi hua inasababishwa na nini🤔🤔.. maana my ciccy nae imetoka 3 times na hatuelewi shida nini, hata bwanake nae anashangaa🤔🤔
Basi sawaKuna ishu ya kafara na kuna ishu ya family background ndio maana inapaswa kujua historical background ya familia unayoenda kuoa/kuolewa. Mambo ni mengi mno
Upo sahihi na kuna wengine hawajui hata historia za familia zao.Sababu ni agano la Uchawi, Mizimu, waganga..
Kwa uchawi yaweza ikawa mume ni mchawi hivyo anatakiwa atoe kafara.
Wakati mwingine ni mume anakuwa ameingia agano na waganga hivyo lazima atoe kafara ya mimba.
Upande wa mizimu inakuwa ni upande wa mume Kuna agano la kafara ya kutoa mimba hivyo ndio inatoka...
Familia ya mume pia yaweza kuwa na Uchawi, uganga, mizimu yote inataka kafara ya mimba...
haha Kama wewe ulivyo haupendi pesa yani nimekushirikisha kwenye deal la Pesa unakataa , si nakutanguliza tuWanawake wapenda pesa kazi mnayo...
Mara nyingi wanaume hao wanaowaoa wanakuwa wanapesa nyingi sana...
Naandika ninajua watu wanateswa ni wa familia moja, hawazai, na wanaozaa wamewekewa kiwango wototo ni 3 tu..Upo sahihi na kuna wengine hawajui hata historia za familia zao.
Kuna baadhi ya watu huteswa na maagano na vifungo ambayo hata hawajui chanzo chake.
Kuna mwanamke mmoja nipo nae hapa kichanga kimetoka juzi...
Kafara hiyoo...
Hii ni mimba ya 4 inatoka
Nyie tulieni nyieeee. Tukiwa hatuna hela mnatuambia tutafte mara oh sijui nguvu za kiume. Yani mm ukileta za kupenda watu wenye hela nakutoa wewe nipate hela nioe mdogo wako tuishi vizurWanaume hivi kwa wale wanatoa wanawake kafara wanaonaje wenzio nakwanini mnatoa watu kafara??
Rafiki yangu alikuwa anatolewa na mchumba wake kafara isingekuwa maombi kweli leo hii angeenda na kichanga tumboni ila kichanga kilikufa . Mama akabaki kwa bahati nzuri .
Wanaume muwe na roho basi kuua wanawake kisa mali sio fresh.
Wana jf wengi wanakaa goba, tegeta na bunju. Ndo hao wanaojaza kwa mwamposa kutafuta miracle... 80% ajira wamezipatia pale 😆Bila shaka hiyo lamri chonganishi imepigwa na Kuhani Mussa maana ndiye bingwa wa kuwajaza watu ulofa
Hili lipo kwa wengi mno, familia nyingi zinapitia haya.Naandika ninajua watu wanateswa ni wa familia moja, hawazai, na wanaozaa wamewekewa kiwango wototo ni 3 tu..
Familia Ina pesa na maviwanja na Mali za kutosha .Akiongeza mtoto mimba, inatoaka...
Watoto wengine hawazai...
Utajiri wa kafara mbaya mnoUmasikini mbaya mno
Wasali na hawakosi kanisani...
Pole zakenKuna mwanamke mmoja nipo nae hapa kichanga kimetoka juzi...
Kafara hiyoo...
Hii ni mimba ya 4 inatoka
Amekiri kuwa amefanya yeye ndugu zakeMlijuaje kama mwanaume ametoa hio kafara?.
Siku nilioacha kuamini waganga kumuona mganga amekwenda polisi kisa mkewe anapelekewa moto na muhuni wa mtaani.
Hakuna uchawi wala nini