Kwanini wanaume mnawatoa wanawake wenu kafara?

Kwanini wanaume mnawatoa wanawake wenu kafara?

Achana na imani za kijinga zisizo na kichwa wala miguu hakuna cha kafara wala uchawi.

Muwe mnawawahisha wajawazito hospitali wapate vipimo na huduma stahiki za kiafya.

Usikae kusubiri hadi siku ama wiki ya kujifungua, kuna matatizo mengi anaweza kupata mama mjamzito kama vile presha kupanda ama kushuka na kuhatarisha uhai wa mama na kichanga kilicho tumboni.

Achana na imani zisizo na kichwa wala miguu. Sasa kama maombi yalimuokoa mama mjamzito, hayo maombi yalishindwa nini kumuokoa mtoto? Ama mungu alichagua aue mtoto abakize mama? Ama maombi ya mtoto hayakufika huko mbinguni?
Alikiri kuwa alikuwa anamtoa mama na mtoto
 
Wanaume hivi kwa wale wanatoa wanawake kafara wanaonaje wenzio nakwanini mnatoa watu kafara??

Rafiki yangu alikuwa anatolewa na mchumba wake kafara isingekuwa maombi kweli leo hii angeenda na kichanga tumboni ila kichanga kilikufa . Mama akabaki kwa bahati nzuri .

Wanaume muwe na roho basi kuua wanawake kisa mali sio fresh.
Mmmh
Mmejuaje kama mjamzito alikuwa anatolewa kafara na mumewe?

Siku hizi mpaka madhabahuni zimetamalaki ramli chonganishi
 
Wanaume hivi kwa wale wanatoa wanawake kafara wanaonaje wenzio nakwanini mnatoa watu kafara??

Rafiki yangu alikuwa anatolewa na mchumba wake kafara isingekuwa maombi kweli leo hii angeenda na kichanga tumboni ila kichanga kilikufa . Mama akabaki kwa bahati nzuri .

Wanaume muwe na roho basi kuua wanawake kisa mali sio fresh.
Hili limetokeaa wapi Kama Ni Kweli hili
 
Nyie tulieni nyieeee. Tukiwa hatuna hela mnatuambia tutafte mara oh sijui nguvu za kiume. Yani mm ukileta za kupenda watu wenye hela nakutoa wewe nipate hela nioe mdogo wako tuishi vizur
Mxiuu oneni huruma wanajamii mtamaliza nyama zote buchani sijui mtauza nini mnaua hadi watoto wenu mmh!
 
Hivi hua inasababishwa na nini[emoji848][emoji848].. maana my ciccy nae imetoka 3 times na hatuelewi shida nini, hata bwanake nae anashangaa[emoji848][emoji848]
Achane kuwaza uchawi, nendeni mkafanyiwe uchunguzi wa kina hospitali.
 
Kuna mwanamke mmoja nipo nae hapa kichanga kimetoka juzi...

Kafara hiyoo...

Hii ni mimba ya 4 inatoka
𝑬𝒎𝒃𝒖 𝒏𝒋𝒐𝒐 𝒊𝒏𝒃𝒐𝒙 𝒎𝒂𝒓𝒂 𝒎𝒐𝒋𝒂
 
Kuna mwanamke mmoja nipo nae hapa kichanga kimetoka juzi...

Kafara hiyoo...

Hii ni mimba ya 4 inatoka
Matumiz holela ta p2 na misoprosol pill ndio mnaita kafara ,haya bhna.[emoji847]
 
Back
Top Bottom