HahaaaaaMlijuaje kama mwanaume ametoa hio kafara?.
Siku nilioacha kuamini waganga kumuona mganga amekwenda polisi kisa mkewe anapelekewa moto na muhuni wa mtaani.
Hakuna uchawi wala nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahaaaaaMlijuaje kama mwanaume ametoa hio kafara?.
Siku nilioacha kuamini waganga kumuona mganga amekwenda polisi kisa mkewe anapelekewa moto na muhuni wa mtaani.
Hakuna uchawi wala nini
Ajabu ,na ubaya wa mambo haya anaanzishaga uzushi mtunmmoja tu basi wote wanaamini huo ujingaAchana na imani za kijinga zisizo na kichwa wala miguu hakuna cha kafara wala uchawi.
Muwe mnawawahisha wajawazito hospitali wapate vipimo na huduma stahiki za kiafya.
Usikae kusubiri hadi siku ama wiki ya kujifungua, kuna matatizo mengi anaweza kupata mama mjamzito kama vile presha kupanda ama kushuka na kuhatarisha uhai wa mama na kichanga kilicho tumboni.
Achana na imani zisizo na kichwa wala miguu. Sasa kama maombi yalimuokoa mama mjamzito, hayo maombi yalishindwa nini kumuokoa mtoto? Ama mungu alichagua aue mtoto abakize mama? Ama maombi ya mtoto hayakufika huko mbinguni?
Mimi nimesoma sheria ndugu yangu.Serikali haiusiki na uchawi so kumshtaki ni ngumu analipa faini
Sikujua naomba Muongozo zaidi niweze kufahamu zaidi ili nijue nafanyajeMimi nimesoma sheria ndugu yangu.
Sheria dhidi ya uchawi ipo na mtu anaweza kuwhtakiwa ushahidi ukiwepo.
[_______
CHAPTER 18
_______
THE WITCHCRAFT ACT
An Act to provide for the punishment of witchcraft and of certain acts connected
therewith.
[28th December, 1928]
Ords. Nos.
33 of 1928
25 of 1935
45 of 1956
Act No. 12 of 1998
Short title 1. This Act may be cited as the Witchcraft Ac...]
Ipo mkuu wangu na mtu akitithibitika anafanya shirki anaadhibiwa kisheria
Huyo tena ndio mtoa kafara haswa, alikanyagisha watu mafuta watu zaidi ya 20 wakafa. Hawa manabii wa uongo wengi watoa kafara, nabii mdogo asiye na jina kubwa monthly anatakiwa kafara sio chini ya watu 7.Nenda karipoti kwa Mwamposa hizo kafara zitakoma
Huyo jamaa Mason la kutupwa. Kafara kwa ajili ya umaarufu, utajiri na madaraka. Lucifer hana baraka, lazima ugharamike sanaMfano Babu tale
Nendeni hospital, shida hapo itakuwa hormone bila shakaHivi hua inasababishwa na nini🤔🤔.. maana my ciccy nae imetoka 3 times na hatuelewi shida nini, hata bwanake nae anashangaa🤔🤔
Tushaenda na wanasema shida ni hormonal imbalance, na dawa anatumia nyingi sana, ila kila aki conceive inatoka....Nendeni hospital, shida hapo itakuwa hormone bila shaka
Afanye bed rest kwa atleast zile two trimester za mwanzo, wakati huo wanamuangalia hormone zakeTushaenda na wanasema shida ni hormonal imbalance, na dawa anatumia nyingi sana, ila kila aki conceive inatoka....
Babu tale anaongeza sauti ya redioWanaume hivi kwa wale wanatoa wanawake kafara wanaonaje wenzio nakwanini mnatoa watu kafara?
Rafiki yangu alikuwa anatolewa na mchumba wake kafara isingekuwa maombi kweli leo hii angeenda na kichanga tumboni ila kichanga kilikufa. Mama akabaki kwa bahati nzuri.
Wanaume muwe na roho basi kuua wanawake kisa mali sio fresh.
Asante kwa ushauri kiongozi...barikiwa sana🙏🙏Afanye bed rest kwa atleast zile two trimester za mwanzo, wakati huo wanamuangalia hormone zake
Maokoto vipi yapo?Kuna mwanamke mmoja nipo nae hapa kichanga kimetoka juzi...
Kafara hiyoo...
Hii ni mimba ya 4 inatoka
😂😂😂Mlijuaje kama mwanaume ametoa hio kafara?.
Siku nilioacha kuamini waganga kumuona mganga amekwenda polisi kisa mkewe anapelekewa moto na muhuni wa mtaani.
Hakuna uchawi wala nini
Acha kuwaza ujinga na kuchonganisha watu wewe,unajua sababu za miscarriage?unajua Rhesus factor ni nini kwenye mimba?mshauri aende Kwa daktari bingwaSababu ni agano la Uchawi, Mizimu, waganga..
Kwa uchawi yaweza ikawa mume ni mchawi hivyo anatakiwa atoe kafara.
Wakati mwingine ni mume anakuwa ameingia agano na waganga hivyo lazima atoe kafara ya mimba.
Upande wa mizimu inakuwa ni upande wa mume Kuna agano la kafara ya kutoa mimba hivyo ndio inatoka...
Familia ya mume pia yaweza kuwa na Uchawi, uganga, mizimu yote inataka kafara ya mimba...