Kwanini wanaume mnawatoa wanawake wenu kafara?

Alikiri kuwa alikuwa anamtoa mama na mtoto
 
Mmmh
Mmejuaje kama mjamzito alikuwa anatolewa kafara na mumewe?

Siku hizi mpaka madhabahuni zimetamalaki ramli chonganishi
 
Hili limetokeaa wapi Kama Ni Kweli hili
 
Nyie tulieni nyieeee. Tukiwa hatuna hela mnatuambia tutafte mara oh sijui nguvu za kiume. Yani mm ukileta za kupenda watu wenye hela nakutoa wewe nipate hela nioe mdogo wako tuishi vizur
Mxiuu oneni huruma wanajamii mtamaliza nyama zote buchani sijui mtauza nini mnaua hadi watoto wenu mmh!
 
Hivi hua inasababishwa na nini[emoji848][emoji848].. maana my ciccy nae imetoka 3 times na hatuelewi shida nini, hata bwanake nae anashangaa[emoji848][emoji848]
Achane kuwaza uchawi, nendeni mkafanyiwe uchunguzi wa kina hospitali.
 
Kuna mwanamke mmoja nipo nae hapa kichanga kimetoka juzi...

Kafara hiyoo...

Hii ni mimba ya 4 inatoka
π‘¬π’Žπ’ƒπ’– 𝒏𝒋𝒐𝒐 π’Šπ’π’ƒπ’π’™ π’Žπ’‚π’“π’‚ π’Žπ’π’‹π’‚
 
Kuna mwanamke mmoja nipo nae hapa kichanga kimetoka juzi...

Kafara hiyoo...

Hii ni mimba ya 4 inatoka
Matumiz holela ta p2 na misoprosol pill ndio mnaita kafara ,haya bhna.[emoji847]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…