Kwanini wanaume mnawatoa wanawake wenu kafara?

Ajabu ,na ubaya wa mambo haya anaanzishaga uzushi mtunmmoja tu basi wote wanaamini huo ujinga
 
Serikali haiusiki na uchawi so kumshtaki ni ngumu analipa faini
Mimi nimesoma sheria ndugu yangu.

Sheria dhidi ya uchawi ipo na mtu anaweza kuwhtakiwa ushahidi ukiwepo.

[_______
CHAPTER 18
_______
THE WITCHCRAFT ACT
An Act to provide for the punishment of witchcraft and of certain acts connected
therewith.
[28th December, 1928]
Ords. Nos.
33 of 1928
25 of 1935
45 of 1956
Act No. 12 of 1998
Short title 1. This Act may be cited as the Witchcraft Ac...]

Ipo mkuu wangu na mtu akitithibitika anafanya shirki anaadhibiwa kisheria
 
Kama anaona huna msaada wowote kwanini asikutoe kafara
 
Sikujua naomba Muongozo zaidi niweze kufahamu zaidi ili nijue nafanyaje
 
Nenda karipoti kwa Mwamposa hizo kafara zitakoma
Huyo tena ndio mtoa kafara haswa, alikanyagisha watu mafuta watu zaidi ya 20 wakafa. Hawa manabii wa uongo wengi watoa kafara, nabii mdogo asiye na jina kubwa monthly anatakiwa kafara sio chini ya watu 7.
 
Babu tale anaongeza sauti ya redio
 
Tatizo mnakaririshwa na kupotezwa na mitume na manabii wa uongo, maombi mengi mnayoombewa siyo ya kweli . Maombi ya kweli ni yale ya kujiombea mwenyewe.

Mimba kutoka au kuharibika ni matatizo ya kibinadamu na kimaumbile nenda hospitali ukaonane na daktari wa maswala ya wanawake / maswala ya uzazi .

Ewe mwanamke achana na imani potofu achana na tamaa za mali za wanaume pia, maisha ni kidogo kidogo, kupanda na kushuka
 
Mlijuaje kama mwanaume ametoa hio kafara?.

Siku nilioacha kuamini waganga kumuona mganga amekwenda polisi kisa mkewe anapelekewa moto na muhuni wa mtaani.

Hakuna uchawi wala nini
😂😂😂
 
Acha kuwaza ujinga na kuchonganisha watu wewe,unajua sababu za miscarriage?unajua Rhesus factor ni nini kwenye mimba?mshauri aende Kwa daktari bingwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…