MDAU: Nimekuja hapa Dar kwa rafiki yangu wiki ya pili sasa ananiletea chipsi usiku,
nikimuuliza kwanini anasema eti ndio chakula cha haraka, namwambia niwe napika anasema inapoteza muda.
Kwanini mnakuwa hivi?
View attachment 1374866
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka heshima yakohizo chips ni umelala na njaa na umeanzisha mgogoro wa kunya
Dah...yaani unakaa wiki 2 kwa mshikaji...halafu anakuletea chips kila siku...tena usiku...hatari sana...dah [emoji2960]MDAU: Nimekuja hapa Dar kwa rafiki yangu wiki ya pili sasa ananiletea chipsi usiku,
nikimuuliza kwanini anasema eti ndio chakula cha haraka, namwambia niwe napika anasema inapoteza muda.
Kwanini mnakuwa hivi?
View attachment 1374866
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha umaandaz unaendaje kwa mshikaji wako unakaa muda wote huo kindezi ndezi tu na kusubiria kuletewa tu msosi Wa bure kisha unakuja kulalamika hum, c urudi kwenu Kama huwezi kujihudumia , wabongo bana huu wote ni uvivu tuMDAU: Nimekuja hapa Dar kwa rafiki yangu wiki ya pili sasa ananiletea chipsi usiku,
nikimuuliza kwanini anasema eti ndio chakula cha haraka, namwambia niwe napika anasema inapoteza muda.
Kwanini mnakuwa hivi?
View attachment 1374866
Sent using Jamii Forums mobile app
aisee vipande 20 vya viazi doooooMDAU: Nimekuja hapa Dar kwa rafiki yangu wiki ya pili sasa ananiletea chipsi usiku, nikimuuliza kwanini anasema eti ndio chakula cha haraka, namwambia niwe napika anasema inapoteza muda.
Kwanini mnakuwa hivi?
View attachment 1374866
Sent using Jamii Forums mobile app
zipo ila wanakula akina dada
Akili finyu kuzani uanaume ni kula ugali tena donna, hao ndio wanatembea vifua mbele kabisa😂😂😂Watanzania bhana ety ili uonekane mwanaume wa kweli ni ule ugali mkubwa na maharage.
We kula chakula unacho ona kinanogesha itaji la moyo wako, nguvu za kiume ushujaa utaishia futi 6 chini
Akili finyu kuzani uanaume ni kula ugali tena donna, hao ndio wanatembea vifua mbele kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]