Chibudee
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 1,775
- 2,404
MDAU: Nimekuja hapa Dar kwa rafiki yangu wiki ya pili sasa ananiletea chipsi usiku, nikimuuliza kwanini anasema eti ndio chakula cha haraka, namwambia niwe napika anasema inapoteza muda.
Kwanini mnakuwa hivi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini mnakuwa hivi?
Sent using Jamii Forums mobile app