rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
Si tatizo kula ugali, nakula sana tu. ila napinga MAPOPOMA, wanaodhani urijali wa mwanaume ni kula ugali, huo ni upunguani aisee.
Kwani viazi mbatata vinavirutubisho gani?..
Nikweli lakini sio kwa mwanaume. Bora ulale njaa.Chakula rahisi kupatikana usiku ndo hicho kama hautaki... uwe unapika mapema kabla njaa hazijawabana
Kumbe ndio maana.Kukuongezea tu Babu na bibi yangu wote ni wazaramo wa kisarawe.😂😂
Vikishaingia kwenu Yale mafuta yasiyobadilishwa, virutubisho vyote kwishney
Sent using Jamii Forums mobile app
Kupitia madem zenu wakija mikoani hukuUtafiti wako umefanyia wapi?
Hahah pole sana kiongozi, kwa taarifa tu nimezaliwa muhimbili hapo, na sasa natimkia ughaibuni, inshaalah hata nikifa huku mwili wangu utarudi kuhifadhiwa kwenye jiji la mzizima washamba mnalolikurupukia.
Kuna jamaa nilimsikia akijisifia kuwa amememaliza pakiti moja... HahahaDuh ila wanaume wa dar sio siri mnahitaji maombi sio bure, wewe fikiria muwa tu wenyewe mnamenyewa ndo muweze kula, hujakaa vizuri mahindi ya kuchoma mpaka muweke ndimu na pili pili, mara hadi nazi na mihogo pia mpaka mkatiwe katiwe, sasa week iliyopita ndo wanenivunja mbavu maana nimepita hapo nimekuta sasa hivi habari ya mjini wanashindana kura mbegu za maboga,,,,, dah!!!!
Anatetea upande wakeWatanzania bhana ety ili uonekane mwanaume wa kweli ni ule ugali mkubwa na maharage.
We kula chakula unacho ona kinanogesha itaji la moyo wako, nguvu za kiume ushujaa utaishia futi 6 chini
atapigwa pipe uyo muache tuDah...yaani unakaa wiki 2 kwa mshikaji...halafu anakuletea chips kila siku...tena usiku...hatari sana...dah [emoji2960]
Sent using Beretta ARX 160