Kwanini wanaume wa Dar mnakuwa hivi?

Mtoa uzia umeandaa nguo za kutosha za kufua..maana mapovu umeanza kuyapata.
 
Napata mashaka na tone ya uandishi huu

Hahah pole sana kiongozi, kwa taarifa tu nimezaliwa muhimbili hapo, na sasa natimkia ughaibuni, inshaalah hata nikifa huku mwili wangu utarudi kuhifadhiwa kwenye jiji la mzizima washamba mnalolikurupukia.
 
Kuna jamaa nilimsikia akijisifia kuwa amememaliza pakiti moja... Hahaha

God save us
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…