Kwanini wanaume wa JF hamtaki tukae huku?

ahsante sana kumbe mke mzuri mno dah kweli karibu nyumbani
hv unamuitaje mtu mke wakati hata humjui ? sidanganyiki mkuu.na ukitongoza kwa swaga hizo za kutuita mke mke ndo hutupati.mke ni safari
 
how dearest?
I want you to make me feel a Better man ,, I want you to be a woman nayeweza kujiproud of kua naye .
I want you to be the really sign of my love .
Nakuitaji uniwakilishe .,naitaji unifanye nijisikie mwanamme mweny kujiamin zaidi na a comfortable one .

Sasa kwann usibadilike kwa ajili yangu ?? Ukimpenda mtu lazima ubadilike kwa ajili yake .... Lengo lakukuambia achana na JF nisababu nataka kukushape uwe mwanamke unayenifaa zaidi .

That's my simple rule.
 
Nimesema "mke mzuri" ni sifa nimekupa, ningesema "Mkewangu mzuri" hapo ndio ingekuwa nimekuleta upande wangu sawa mkuu.
hv unamuitaje mtu mke wakati hata humjui ? sidanganyiki mkuu.na ukitongoza kwa swaga hizo za kutuita mke mke ndo hutupati.mke ni safari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…