Kwanini wanaume wa JF hamtaki tukae huku?

True mwamba, naona unawakilisha vyema maoni ya vidume wenzako
 
Sasa kama yeye alikupata humu kwa hela ya chips, wengine watashindwaje?
 
Mungu wetu sote ndugu, vipi kwa upande wako? Naona unatoa somo murua kwa dada zetu hapo
Eeehhh najaribu kuwaelezea waendane nanyakat ...though wana ubishi usokua nafaida.

Kwangu ,mambo nimurua ndugu yangu ,,, mwaka ndo huoooo unaishia , tunataka kufunga mahesabu ya mwaka !!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…