Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
- Thread starter
- #21
nitakuwa na mtu halafu niendelee kukitembeza huku kweli?Maharamia wengi Mkuu, Ni kheri akajitoa kabisa humu ili usalama uwepo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nitakuwa na mtu halafu niendelee kukitembeza huku kweli?Maharamia wengi Mkuu, Ni kheri akajitoa kabisa humu ili usalama uwepo.
Hahahaaaa!! Na kweli.Si wawindaji, wanajua wawindaji wenzie watakuwinda
Mpige chini tafuta wa mtaanikupeana adhabu tu
sana .ni handsome balaa sio wa sport sport .yupo cool japo nina machale mi sipendi kudate wanaume wazuri wazuri.sidhani kama hana mtu yule jamaa
Humu chawote.hv kwanini wanaume mnaotutongoza humu mnataka tukianza mahusiano tujitoe humu?
ahaaaa i dont care meen. nishaumizwa sana yaani sina gata nguvu ya kuinvest kiviile kwenye mapenzi ujueShauri yako.....utakosa zali hivi hivi....
mtaani sina muda wa kuwapataMpige chini tafuta wa mtaani
si ningeyajua siku zote sasa?Ukute hadi amekupata kashasarandia wengi sana humu, au ana makoloni yake ya kutosha humu hivyo anahofu waweza kujua.
Cha wote kiaje?Humu chawote.
ahaaaa i dont care meen. nishaumizwa sana yaani sina gata nguvu ya kuinvest kiviile kwenye mapenzi ujue
If you walk on my way ....I will walk with you !!!.hv kwanini wanaume mnaotutongoza humu mnataka tukianza mahusiano tujitoe humu?
Inategemea ntu na ntu, wengine humu wafanyabiashara.nitakuwa na mtu halafu niendelee kukitembeza huku kweli?
mbona nipo muda na sijawa cha wote?Humu chawote.
ahsante sana kumbe mke mzuri mno dah kweli karibu nyumbanimimi siwezi msaliti mtu wangu lakini
Humu kuna makoloni yanajua juu Kwa juumtaani sina muda wa kuwapata
how dearest?If you walk on my way ....I will walk with you !!!.
Moja yasheria yangu
We usitoke humu mwaya, mwambie atoke yeye
Sandakarawe.Cha wote kiaje?